Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Klabu ya Simba na sakata la deni la Mchezaji Donald Mosoti…

Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limeiagiza klabu ya simba kumlipa beki wake wa zamani Donald Mosoti jumla ya fedha taslimu dola elfu kumi na nne na mia nne ambazo ni sawa na fedha za kitanzania...

View Article


Kuna hii ya wanafunzi chuo Kikuu kuanza kusoma kuhusu staa Cristiano Ronaldo !!

Mchezaji bora wa dunia Cristiano Ronaldo ameendelea kuwa maarufu duniani baada ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ametimiza umri wa miaka 30 . Mchezaji huyo wa Real Madrid hivi karibuni...

View Article


Hii ni kutoka Manchester United, kutana na mchezaji mwenye kasi kuliko wote

Katika hali ya kawaida kasi ni sehemu kubwa ya mchezo wa soka katika zama hizi na moja kati ya sifa ambazo humpambanua mchezaji bora na yule asiye bora ni jinsi ambavyo wachezaji wanatumia kasi wakiwa...

View Article

Kutana na list ya vyakula ambavyo vinatoa harufu mwilini.

Vitunguu Swaumu Moja kati ya vyakula vinavyomletea mlaji wake harufu kali ni vitunguu swaumu ambavyo huumika kama viungo kwenye chakula . Vitunguu swaumu vina vitu Fulani ndani yake amvayo hujitokeza...

View Article

Wabunge na Waziri Mkuu kuhusu ishu ya wanafunzi kwenye sherehe za CCM Songea

Leo katika kikao cha Bunge Dodoma, kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu moja ya swali ambalo liliulizwa ni ishu ya chama cha CCM kuwatumia wanafunzi katika sherehe za  chama hicho zilizofanyika Songea...

View Article


Ishu ya P Diddy kusakwa na Polisi, kesi yake ni ugomvi ndani ya club !!

Rapa maarufu na mmiliki wa Lebo ya Bad Boy Entertainment, Sean Combs maarufu kama P Diddy anasakwa na polisi kwa madai ya kumpiga shabiki mmoja katika hafla ya mchezo wa Super Bowl iliyofanyika nchini...

View Article

Beyonce na biashara ya chakula.

  Mwanamuziki nyota wa miondoko ya Pop ulimwenguni Beyonce amekuja na biashara mpya inayohusisha chakula ambacho kinashauriwa na madaktari . Beyonce ameungana na daktari mmoja anayefahamika kama Marco...

View Article

Mchezaji wa Nigeria afunga bao baada ya kufanyiwa tambiko .

  Mshambuliaji wa Nigeria Emmanuel Emenike hivi karibuni aliifungia klabu yake bao lake la kwanza ikiwa imepita miezi mitatu alipofunga mara ya mwisho katika ligi ya Uturuki ambako anchezea klabu ya...

View Article


Liverpool yajazwa mafedha toka Marekani .

  Klabu ya Liverpool hii leo imetangaza kuingia mkataba na kmapuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Marekani ya New Balance mkataba ambao unaweka rekodi ya kuwa mkataba mnono kuliko yote katika...

View Article


Ghana yafuzu fainali Afcon.

  Timu ya taifa ya Ghana imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya Afcon baada ya kuwafunga wenyeji Equatorial Guinea katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa usiku huu (Alhamis). Ghana...

View Article

Ziko hapa kurasa za mwanzo na mwisho za Magazeti ya leo February 6 , 2015

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

Nimekuwekea uchambuzi wa habari Hot za Magazeti ya leo Feb 6 kupitia...

Kama hukusikiliza Magazeti yakisomwa na kuchambuliwa hewani leo February 06, kupitia Power Breakfast ya Clouds FM yako hapa nimekurekodia unaweza kusikiliza. Miongoni mwa Habari kubwa kutoka kwenye...

View Article

Siku 6 za Bobbi Kristina akiwa ICU, haya ndio majibu ya madaktari…

Mwisho wa wiki iliyopita Bobbi Kristina ambaye ni mtoto pekee wa marehemu mwanamuziki wa Marekani Whitney Houston alianguka bafuni na kukimbizwa hospitali huku hali yake ikielezwa kuwa ni mbaya na...

View Article


Hekaheka ya leo Feb 6, inawahusu wasanii Flora Mvungi na H Baba

Ijumaa ya February 06 kwenye Hekaheka ya leo msanii H Baba na mke wake ambaye ni muigizaji Flora Mvungi walikuwa wakipiga story, kati ya vitu ambavyo wamevizungumzia ni pamoja na ishu ya watu ambao...

View Article

Anawapenda wote, anawahitaji wote na akafanya uamuzi huu ili asiwapoteze…

Wivu ni chanzo cha migogoro katika uhusiano pengine jamaa hawa wawili hawana wivu kabisa baada ya kukubaliana kuishi kinyumba na mwanamke mmoja huko Zimbabwe. Mwanamke huyo Mlambo amesema kuwa anaenjoy...

View Article


Upo Dar na ungependa kwenda CINEMA leo Feb 6, 2015? Ratiba pamoja na TRAILERS...

Mtu wangu wa nguvu kama una plan kwenda zako movie jioni ya leo na watu wako, basi unaweza kufanya chaguo la sehemu gani poa kwenda kujienjoy leo DAR ES SALAAM. Hapa kuna list yote ya movies...

View Article

Adhabu walizopewa Morris na Nyosso kwa vitendo walivyowafanyia Okwi na Maguri

Wiki mbili zilizopita katika mechi za ligi kuu kulitokea matukio mawili ambayo yalileta mjadala mkubwa miongoni mwa wadau wa soka nchini. Mchezaji wa Azam FC, Aggrey Morris alipiga kiwiko Emmanuel Okwi...

View Article


Wasanii Chege, Jux na AY ndio waliohusika kwenye story za 255 ya leo Feb 6...

Story ya kwanza kusikika kwenye 255 ya leo kupitia XXL ya Clouds Fm msanii Chege ambaye amezungumzia uzinduzi wa wimbo wao unaotarajiwa kuzinduliwa kesho pale Escape One pamoja na video ya Vuvula ya...

View Article

Sikiliza U Heard ya leo Feb 6 ni muendelezo wa ile ya jana inayomhusu msanii...

Nimekuweke U Heard ya leo February 6 ni muendelezo wa ile ya jana ambayo inahusu taarifa zilizosambaa kuwa jamaa anayeitwa Lucas ambaye ilisemekana kuwa ni mume wa msanii Pipi kuweka bondi gari la...

View Article

Shakira ameonyesha picha za mtoto wake aliyejifungua…

Ni mara chache kwa mastaa wa kike wa muziki Marekani kuona wakiweka picha za watoto wao mara baada ya kutoka kujifungua. Imewachukua muda mrefu mastaa kama Kim Kardashian, Beyonce, Kelly Rowland na...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live