Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Ulikua mbali na Radio? stori zote 10 za AMPLIFAYA January 27, 2015 ziko hapa

Amplifaya ni dakika 120 za habari kumi za kila aina kwenye countdown ya saa moja mpaka saa tatu usiku kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa on Clouds FM 88.5 Dar es salaam ikiongozwa na mtu wako wa nguvu...

View Article


Tukae tayari kwa hii mpya ya YEMI ALADE, kashare na sisi kilichoendelea...

Ukiangalia video yake ya ‘Johnny’ na ‘Tangarine’, au namna alivyofanya vizuri kwenye video ya ‘Baby Hello’ ya staa mwenzake wa Nigeria, Wande Coal; unaona ni jinsi gani staa huyu wa muziki Yemi Alade...

View Article


Ya Kanye West kusimamia mkewe akijaribu nguo nayo imepewa headlines mitandaoni…

Baada ya ile story ya Kim Kadarshian ku-breaktheInternet mengi yalikuwa yakijadiliwa mitandaoni, wapo waliokuwa wakihoji eti rapper Kanye West anachukuliaje tukio lile la Kim kwa nafasi yake kama mume?...

View Article

Zawadi hii ilimtoa machozi mtoto huyu… Ni kama hakutegemea kuipata, cheki...

Surprise ya zawadi ni kitu kizuri sana, ila kuna ambao hawapendi kushtushwa na kitu chochote, haijalishi ni kizuri au kibaya! Mtoto alikuwa anaingia zake toka shule kakutana na zawadi aliyoletewa na...

View Article

Hizi ndio video 10 za RNB zinazotamba kwenye Top 10 ya Trace TV ziko hapa

Trace TV ya Ufaransa ni kituo kingine cha TV kinachoonekana Afrika kupitia huduma ya kulipia kikiwa na nafasi yake kwenye upande wa burudani hususani  muziki wa kizazi cha sasa, ambapo leo Jan 27...

View Article


Matokeo ya Mechi za Simba Vs Mbeya City, TP Mazembe Vs Azam FC yote hapa

Mechi kati ya timu ya Simba SC na Mbeya City imemaliza muda mfupi uliopita, Simba wamejikutawakikubali kichapo cha goli 2-1 katika mechi ya ligi kuu soka Tanzania bara iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar...

View Article

Sikilza habari kubwa za leo Jan 28 kutoka Redio Jambo Kenya wakati zikisomwa...

Sikiliza habari kutoka Kenya, ilirekodiwa wakati ikisomwa hewani Radio Jambo, hii ni nafasi yako kufahamu story zote za Kenya leo January 28 kupitia hapa. Taharuki imetanda katika Kijiji cha Kainu...

View Article

Utata wa video ya Mchungaji iliyozagaa mitandaoni ikionyesha akiwa bila nguo...

Mchungaji maarufu Afrika Kusini Sthembiso Zondo ambae huwa anatoa mahubiri yake kwa njia ya Redio nchini humo, ratiba ya kurushwa kwa mahubiri yake imesimamishwa kurushwa hewani  baada ya kuvuja video...

View Article


Stori za Facebook, Twitter, Instagram, Blogs leo January 28, 2015 ziko hapa

Kazi yangu ni kuhakikisha hupitwi na chochote ndio maana natumia muda wangu kukusanyia matukio mbalimbali kuanzia Ofisini,Barabarani,Mitaani mpaka kwenye Mitandao kama hii ya leo. Tarehe 30 January PAC...

View Article


Balotelli abebeshwa lawama za kufungwa kwa Liverpool.

  Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli amebebshwa lawama za kipigo ambacho Liverpool ilikipata usiku wa jana katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la Capitol 1 baada ya kushindwa kumkaba mfungaji...

View Article

Manchester United yawatishia mashabiki wake .

  Klabu ya Manchester United imewaonya mashabiki wake kuwa wanalazimika kununua tiketi kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa kombe la FA dhidi ya Cambridge United na wakishindwa kufanya hivyo watapata...

View Article

Stori 10 za AMPLIFAYA January 28,2015 kwako uliezikosa mtu wangu nimekuwekea...

Amplifaya ni show inayosikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Clouds FM kuanzia saa moja usiku mpaka saa tatu, ni show ambayo ina namba 10 muhimu zinazomilikiwa na habari, yani habari kumi kubwa...

View Article

Real Madrid ‘yauza’ uwanja wake .

  Mabingwa wa ulaya Real Madrid wamekubali kuuza haki za kuupa jina uwanja wao wa nyumbani kwa familia ya falme za kiarabu ya Emirates ambapo sasa uwanja huo utabadilishwa jina na kuitwa Abu Dhabi...

View Article


Manny Pacquaio na Floyd Mayweather uso kwa uso Marekani.

  Mabondia wawili nyota Floyd Mayweather na Manny Pacquiao hapo jana walikutana uso kwa uso ikiwa ni mara ya kwanza kukutana katika kipindi hiki ambacho pambano lao limekuwa likitajwa sana . Mabondia...

View Article

Huyu ndie nyota wa Real Madrid aliyetangaza kugombea urais FIFA.

Nyota wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Luis Figo ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais wa shirikisho la soka ulimwenguni FIFA katika uchaguzi wa shirikisho hilo utakaofanyika mwezi...

View Article


Hii ni taarifa kuhusu Van Persie kwa klabu ya Man United

 Nyota wa Manchester United Robin Van Persie amekiri kuwa huenda akaihama klabu hiyo pale ambapo mkataba wake utakapomalizika ndani ya kipindi cha miezi 18 ijayo . Robin Van Persie ametoa kauli hii...

View Article

Ivory Coast wafuzu robo fainali AFCON 2015.

  Timu ya taifa ya Ivory Coast imefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika Afcon baada ya kushinda mchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Cameroon kwa...

View Article


Serikali imetoa tamko hili kuhusu kuitafuta ndege ya Malaysia MH370

Serikali ya Malaysia imetangaza kusitisha shughuli ya kuitafuta ndege iliyopotea ya MH370 na kusema wanachukulia kama ajali ambayo iliangamiza watu wote. Tangu kuanza kutafutwa kwa ndege hiyo...

View Article

Kama umepitwa na U Heard ya leo Jan 29 nimekuwekea hapa, inamhusu msanii Mh....

Kama ulipitwa na U heard ya leo Jan 29, inahusu taarifa iliyotolewa na mzee mmoja Mzee Saidi ambaye anaishi Temeke, amesema hivi karibuni msanii wa Kundi la Wanaume Family, Mh Temba alienda katika Bar...

View Article

Maamuzi magumu ya Rapper Lil Wayne juu ya kundi la YMCMB

Ishu ya mgogoro wa rapper Lil Wayne na YMCMB sasa umefikia mbali na time hii jamaa amefungua mashtaka alipwe dola za Marekani milioni 51 na msanii mwenzake Birdman. Lil Wayne amemtaka jaji kuvunja...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live