Amplifaya ni show inayosikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Clouds FM kuanzia saa moja usiku mpaka saa tatu, ni show ambayo ina namba 10 muhimu zinazomilikiwa na habari, yani habari kumi kubwa za siku kutoka kwenye michezo, muziki, movies, fashion, siasa na stori nyingine ambapo host wake ni mtu wako wa nguvu Millard Ayo. #AMPLIFAYA...
The post Stori 10 za AMPLIFAYA January 28,2015 kwako uliezikosa mtu wangu nimekuwekea hapa appeared first on TZA_MillardAyo.