Mabingwa wa ulaya Real Madrid wamekubali kuuza haki za kuupa jina uwanja wao wa nyumbani kwa familia ya falme za kiarabu ya Emirates ambapo sasa uwanja huo utabadilishwa jina na kuitwa Abu Dhabi Bernabeu . Emirates imekubali kulipa kiasi cha paundi milioni 15 kwa mwaka ili kubadilisha jina uwanja huo katika mchakato ambao ulihusisha...
The post Real Madrid ‘yauza’ uwanja wake . appeared first on TZA_MillardAyo.