Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Mabibi na mabwana Steve RNB anarudi kwenye headlines na hii ! (picha 6)

Aliongea kwenye Exclusive interview na millardayo.com na kusema kwa kiasi flani alijutia kuiachia single ya ‘jambo jambo‘ siku alafu akasafiri kwenda Ulaya ambako kwa muda wote single imekua hit...

View Article


Unajua jinsi ambavyo wapishi wa chakula waliwaua wapiganaji wa IS?

Kumekuwa na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na Vikosi vya Serikali ya Syria kupambana na wapiganaji wa IS ambazo bado hazijafanikiwa sana kutokana na changamoto mbalimbali. Wapiganaji wa Dola ya Kiislamu...

View Article


Walichokifanya Watanzania Vanessa, Shaa, Diamond na Joh Makini kwenye fainali...

Nimekuja kujikuta #CokeStudioAfrica ni show nyingine ninayopenda kuitazama kwenye TV ikiwa na muunganiko wa Wasanii wakali wa Afrika ambao wanatuteka kwa kufanya nyimbo zao live pamoja. Kwenye hii...

View Article

Akimbia madeni usiku wa manane #Hekaheka.

Kama umepitwa na Hekaheka ya Leo inayohusu mwanamke aliyekopa majirani zake na kufikisha deni la Shilingi milioni tatu na kisha kuhama usiku wa manane. Unataka kujua ilikuwaje wanaomdai wakamshtukia?...

View Article

Stori 11 Hot za Magazeti ya leo Tanzania November 10,2014

MWANANCHI Rais Jakaya Kikwete amefanyiwa upasuaji  wa tezi dume (Prostate) katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo katika jimbo la Maryland nchini Marekani. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa...

View Article


Unadhani huu utakuwa mwisho wa kitendo cha baadhi ya watu kuvuta Sigara...

Suala la watu wengi kutopendezwa na kitendo cha baadhi ya watu kuvuta sigara hadharani ama ndani ya vyombo vya usafiri limekuwa likizungumziwa sehemu mbalimbali na ikafika wakati hata Bunge la Jamhuri...

View Article

Sikiliza You heard ya leo hapa.

Kwenye Xxl Leo taarifa zinazohusu Msanii Richi Mavoko kumiliki Bastola. 87.5 Clouds Fm Shinyanga. Bonyeza play kusikiliza.   The post Sikiliza You heard ya leo hapa. appeared first on TZA_MillardAyo.

View Article

Malalamiko ya wizi wa vifaa vya magari bandarini, Serikali imetoa tamko.

Imekuwa kawaida watu wengi kulalamikia vitendo vya wizi wa vifaa mbalimbali katika magari eneo la bandari ya Dar es Salaam hali iliyopelekea leo Serikali kutoa tamko rasmi juu ya mkakati unaoandaliwa...

View Article


Amini katoka rasmi THT,hizi ni picha wakati anaagwa Nov 10.

THT leo imemuaga rasmi Amini ambaye  miongoni mwa mastar wanaotokea kwenye jumba hilo la vipaji Tanzania baada ya kuishi ndani yake kwa zaidi ya miaka 9 mpaka sasa. Amini ambaye anakua msanii wa pili...

View Article


Umesoma makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya Tanzania leo Nov 11 ? yako hapa

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

Sikiliza Magazeti yaliyosomwa Redioni Leo Novemba 11.

Tumia dakika 18 kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye Magazeti mbalimbali ya leo Novemba 11, hapa yanasomwa na kuchambuliwa na Paul James kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast. Zipo taarifa...

View Article

Chidi Benz Mahakamani tena leo, picha na alichokiandika kwa Watanzania viko...

Rapper  Rashid Abdallah Makwiro aka Chid Benz  ambaye yupo nje kwa dhamana kufuatia kukamatwa na dawa za kulevya uwanja wa ndege Dar es salaam leo Nov 11 2014 alikwenda tena kwenye Mahakama ya hakimu...

View Article

Rihanna ndani ya Ikulu ya Marekani, nina picha zake 5 za alichokifanya hapa.

Jumatatu Novemba 10 badgalriri ambae ni hivi karibuni amerudi kwenye account yake ya instagram alitinga ndani ya Ikulu ya Marekani (White House) ambapo hizi ni picha alizoziweka kwenye ukurasa wake wa...

View Article


Mpya ya Damian Soul kwenye TV zetu ft. Joh Makini ‘ni penzi’

Baada ya hii single kupata airtime ya kutosha kwenye Radio za Tanzania, mmiliki wake ambae ni Diamian Soul ameamua kuileta kwenye TV ft. Joh Makini. The post Mpya ya Damian Soul kwenye TV zetu ft. Joh...

View Article

Mahakama yatoa hukumu kwa Nahodha wa Meli iliyozama na kuua watu 300.

Mahakama imetoa hukumu kwa Nahodha na jumla ya wenzake kumi na nne kwa kupatikana na hatia ya uzembe uliopelekea meli kuzama na kuua watu 300. Nahodha Lee Joon-seok amehukumiwa kifungo cha miaka 36 kwa...

View Article


Mwendelezo wa Hekaheka ya jana huu hapa.

Hekaheka hii ni muendelezo wa ile Hekaheka ya jana ilayomuhusu  mama aliyekopa majirani zake na kutaka kuhama nyumba usiku, mume azungumza sababu ya kuhama usiku, ashangazwa jina lake na simu yake...

View Article

Stori 10 Hot kwenye Magazeti ya leo Tanzania November 11,2014

NIPASHE Mtoto mweye umri wa miezi miwili ameibiwa baada ya mama yake kudaiwa kunyweshwa dawa za asili na mganga wa kienyeji katika kijiji cha Katororo Wilayani Geita. Kamanda wa Polisi Mkoani Geita...

View Article


Sikiliza 255 ya Clouds FM kupitia XXL Jumanne Novemba 11, 2014.

Kwenye 255 ya leo sehemu ya utakayoyasikia ni pamoja na stori kuhusu kesi ya msanii Chid Benz  katika mahakama ya Kisutu leo, Rais Kikwete kutuma salam za rambirambi kutokana na kifo cha msanii...

View Article

Kwenye U Heard ya leo Novemba 11 rapa Stamina ndio kahusika.

Kwenye XXL ya Clouds Fm leo Novemba 11, U Heard inamhusu rapa toka Morogoro Stamina, ishu inahusu kukopa viatu na kumkimbia mdeni wake bila kulipa deni. sikiliza kupitia 87.5 Clouds Fm Shinyanga....

View Article

Taarifa kuhusu ajali ya moto ulioteketeza shule ya msingi.

Moto mkubwa umeteketeza majengo ya Shule ya msingi Filbert Bayi na kisha kusambaa na kuteketeza mabweni yote ya Wanafunzi pamoja na madarasa. Mwenyekiti wa shule hiyo Filbert Bayi amesema moto huo...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live