Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Ripoti ya mchezo na matokeo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imetoka suluhu (0-0 ) dhidi ya timu ya Mtibwa Sugar ya Manugu katika mchezo uiofanyika jioni ya leo dimba la Uwanja wa...

View Article


Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza, Man City, Swansea, Southmpton, Newcastle

Ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Barclays Premier league imeendelea leo tena mchana kwa mechi 7 kupigwa katika viwanja tofauti nchini na matokeo yapo kama yafuatavyo. Fulham 1-0 Newcastle Everton 2-1...

View Article


Magazetini leo Jumapili 16 March 2014

Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania. Use Facebook to Comment on this Post The post Magazetini leo Jumapili 16...

View Article

Picha 7 za Bus ya Yanga lililopata ajali asubuhi ya leo March 16.

Taarifa ambazo zimethibitishwa na tovuti ya Yanga kuhusu kunusurika ajali bus walilokuwa wakisafiria kutoka Morogoro kurudi Dar baada ya kumalizika kwa mchezo kati yao na Mtibwa Sugar ya Manungu...

View Article

Taarifa kuhusu kufukuzwa kwa Nicolas Anelka West Brom

West Bromwich Albion wamekata shauri la kumfukuza mchezaji mkongwe, Nicolas Anelka kwa utovu mkubwa wa nidhamu, baada ya mpachika mabao huyo kutangaza kwamba anaondoka Hawthorns. West Brom...

View Article


Video: Highlights za mechi ya Aston Villa dhidi ya Chelsea

Aston villa jana imeadhibu Chelsea 1-0 katika mfululizo wa mechi za English premier league. Unaweza kutazama mchezo ulivyokuwa kupitia video hapo chini Use Facebook to Comment on this Post The post...

View Article

Kama ulimis mchezo wa Liverpool dhidi ya Man United nimekuletea video hii hapa

Liverpool imeendelea kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi baada ya kuinyoosha Man United 3-0 katika mchezo uliopigwa hivi punde katika dimba la Old Trafford. < Use Facebook to Comment on this Post...

View Article

Video: Cristiano Ronaldo alivyoifanya Malaga jana

Cristiano Ronaldo jana usiku aliifungia Real Madrid goli pekee kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Malaga. Tazama video chini…… Use Facebook to Comment on this Post The post Video: Cristiano Ronaldo...

View Article


Magazetini leo March 17 2014

Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania. Use Facebook to Comment on this Post The post Magazetini leo March 17...

View Article


Tegete aambiwa arudi shule au ahame Yanga

BABA mzazi wa straika wa Yanga Jerry Tegete, John Tegete amemtaka mwanae achague mawili ifikapo mwisho wa msimu huu iwapo ataendelea kusugua benchi kwenye kikosi hicho. Kocha huyo wa zamani wa Toto...

View Article

Kikwete aipa Simba kiasi hiki cha pesa kwa ajili ya uwanja

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Jakaya Mrisho Kikwete ameipa klabu ya Simba  Sh 30 milioni kwa ajili ya kukomboa hati yao ya kiwanja cha Bunju B, Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Simba, Ismail...

View Article

Umesikia kuhusu alichofanyiwa Dereva Bodaboda kutoka Morogoro?sikiliza...

Matukio ya uporwaji wa pikipiki kwa madereva wa Bodaboda umekua ukitangazwa kila siku kwenye maeneo tofauti ya jijini Dar huku wezi hao wakitumia mbinu nyingi na za kisasa,asa hii hapa kuna mbinu...

View Article

Hii ndio nyumba ya Mheshimiwa Temba kapewa na Meneja wake.

Muziki wa Tanzania unazidi kuingia kwenye headline hasa inapotokea  kwenye vitu vikubwa kufanyika,mwishoni mwa mwaka jana siku ya Birthday ya Babu Tale,Madee alimkabidhi gari ya kutembelea Meneja wake...

View Article


Namna Young Dee feki alivyotapeli Digital Camera Mbeya.

Hili ni tukio ambalo linakua kwenye records za wasanii mbalimbali wa Tanzania waliowahi kuhusishwa uhalifu kwa majina yao ambao baadhi yao hutambulika mapema kuwa sio wahusika,Leo Soud Brown...

View Article

Ratiba ya Mkutano wa bunge maalum imetoka kuanzia leo Tar 17- 21 March.

Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge Maalum na umma kwa ujumla kuwa Mkutano wa Bunge Maalum utaendelea mjini Dodoma leo kwa ratiba ifuatayo: Tarehe 17/3/201 kuanzia saa 3:00...

View Article


Habari 10 za Amplifaya March 17 2014

Amplifaya ni mkusanyiko wa stori 10 za siku ambazo hazina mipaka, iwe siasa michezo, movies, maisha, muziki au kingine chochote utakisikia ndani yake. Kwa matukio zaidi ya kila siku nje na ndani ya...

View Article

Msikilize Mbwiga leo March 17.

Huu  ni udambwi dambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke leo March 17 kama kawaida anazungumzia mpira wa Miguu na leo ameizungumzia mechi iliyocheza simba na timu ya Nje. 88.1 Clouds Fm unasikiliza ukiwa Mwanza....

View Article


Kuhusu ile ndege ya Malaysia iliyopotea.

Ikiwa haijulikani ilipo kwa zaidi ya siku sita, habari nyingine kuhusu ndege hii iliyokua na abiria 239 zinaonyesha machahe mapya kwamba muda mfupi baada ya kupaa kuna mtu alizima kifaa cha mawasiliano...

View Article

Pichaz za Show ya Madee na Shilole Mtwara.

Hii ni show ambayo pia inaingia kwenye kumbukumbu kwa kuwa ilikuwa na watu wengi kiasi cha mpaka baadhi ya vipoza hewa A/C kushindwa kufanya kazi yake ipasavyo kwa niaba ya mashuhuda waliokuwepo kwa...

View Article

Hivi ndivyo ulivyokuwa usiku wa Meninah pale Club Bilicanas.

Jumapili ya Jana March 16 ndani ya Club Billcanas Meninah na Linah Sanga wa Tht waliunganisha Birthday zao kufanya kitu kikubwa kwa mashabiki wa muziki wao kwa kusherehekea pamoja na kufuatiwa na bonge...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live