Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Gosby kaitoa hii single mpya inaitwa ‘Wema Sepetu’ ! ingia hapa kuisikiliza

Kila alieona jina la wimbo ‘Wema Sepetu’ amekua na hamu ya kujua moja kwa moja nini kimeimbwa ndani ya hii single ya mkali Gosby ambayo single zake zilizotangulia kama ile ya ‘Monifere’ ft. Vanessa...

View Article


Kazi ni kwako tu mtu wangu, Vodacom wamekuletea na hii ya kuJimix!!

Utazidi kuwa mtandao wenye nafasi kubwa kwangu na hii ni sababu wamekua wakibadilika kwendana na wakati lakini pia wanatimiza ahadi ambazo wamekua wakizitoa toka nimeanza kuwa nao kiganjani mwangu....

View Article


Nyama choma Festival Dodoma weekend hii! ni time yetu mtu wangu

Ukiniuliza ni top 5 ya Events zangu bora kwa mwaka 2014 ni lazima kwenye hiyo list Tamasha la Nyama Choma litakuwepo, kimekua ni kitu ninachokipenda sababu kimekuja na ubunifu mpya na wa kistaarabu...

View Article

Magazeti ya leo Nov 7 2014 Udaku, Michezo na Hardnews

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

Kama unatumia WhatsApp, hii mpya inakuhusu kabisa!

Nakumbuka moja ya taarifa kubwa zilizowahi kuchukua headlines mwezi Februari 2014 ilikuwa ni stori ya kuuzwa kwa mtandao wa Whatsapp kwa mmiliki wa Facebook, leo kuna taarifa nyingine mpya kuhusiana na...

View Article


Sikiliza Magazeti yaliyosomwa Redioni Leo Novemba 7.

Tumia dakika 16 kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye Magazeti mbalimbali ya leo na hapa yanasomwa na kuchambuliwa na Paul James kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast, zipo taarifa nyingi...

View Article

#Instagram… guess nani kakutana na President wa Wasafi kwenye ndege?...

Ni siku moja tu imepita toka mastaa kadhaa wa Uganda waliposikika kwenye #AMPLIFAYA ya CloudsFM wakiwemo producer na wasanii waliomsifia Diamond Platnumz na kusema ni mfano sahihi wa kuigwa hata na...

View Article

Ujumbe wa kwanza alioutoa Beyonce baada ya Kelly Rowland kujifungua…

Siku ya jana Novemba 6, Beyonce alimtembelea Kelly Rowland aliyejifungua mtoto wa kiume na kuacha ujumbe wa nguvu katika ukurasa wake wa Instagram (@beyonce) kwa mtoto huyo. “.. Hakuna hisia nzuri kama...

View Article


Panya wa India mpaka Hospitali, hii nayo imechukua headline…

Zaidi ya panya elfu nne wameuwawa ndani ya siku mbili katika hospitali maarufu ya serikali nchini India. Mkurugenzi wa Hospitali hiyo amesema Kampuni ya kudhibiti wadudu imewaangamiza panya hao...

View Article


Anne Kilango kasimama bungeni leo, zimeombwa milioni ngapi kujenga nyumba ya...

Headlines za dawa za kulevya ni miongoni mwa headlines ambazo zimekua zikitokea kwenye vyombo vya habari Tanzania kila wakati na zimekua zikitaja au kuhusisha baadhi ya watu maarufu, Wauzaji na hata...

View Article

Rapa tajiri Jay Z kafanya makubwa zaidi…

Rapa wa Marekani Shawn Corey Carter a.k.a Jay Z ameingia kwenye headlines za vyombo vya habari mbalimbali vikubwa na mitandao duniani. Taarifa ikufikie kwamba baba wa Blue Ivy Carter na mume wa...

View Article

Pichaz za mastaa wa muziki wanaoongoza kuingiza hela nyingi mwaka 2014…

Kama hujui hii ndio list ya mastaa wa kike watano wanaofanya muziki walioongoza kwa kuingiza mkwanja mkubwa kwa kipindi cha mwaka 2013-14 Marekani. Wapo mastaa ambao wana majina ambayo yanasikika sana...

View Article

Ishu ya Rais wa China kuondoka na mzigo Tanzania imezungumziwa na serikali leo.

Serikali imetoa taarifa kuhusu tuhuma zilizoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini na vya Kimataifa kuhusiana na ziara ya Rais wa China kuhusishwa na usafirishwaji wa meno ya Tembo kutoka...

View Article


Bob Juniour ndio kahusika leo kwenye You Heard ya XXL.

Kwenye XXL ya CloudsFM leo U Heard inamhusu msanii kutoka Sharobaro Records Bob Junior na ni baada ya kusemekana kuna picha zake zimesambaa mtandaoni akiwa mapenzini. Bonyeza play hapa chini ili...

View Article

Labda kama hukuelewa alichosema Shetta kuhusu Ali Kiba. @ShettaTz

Ameingia kwenye vichwa vya habari Tanzania na hata wengine kuona kama amekosea kutoa kauli au kumdiss staa wa bongofleva Ali Kiba lakini ukweli anaousema Shetta ni kuwa maneno aliyoyasema...

View Article


Magazeti ya leo Nov 8 2014 Udaku, Michezo na Hardnews

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

Utapenda kwenda cinema wikiendi hii?ratiba nimekuweka hapa

Mtu wangu hizi hapa ndiyo movies  zitakazoonyeshwa kwenye theater mbalimbali na unaweza kuchagua muda wako,movie yako na wapi pa kwenda kuangalia.kama upo Dar es Salaam unaweza ukaenda ,Mlimani...

View Article


Breaking News:Taarifa mpya kuhusu ushindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu

Tangu Sitti Mtemvu atangazwe mshindi pale Mlimani City kumekua na malalamiko kutoka kwa baadhi ya Watanzania yalifuatia kutokana na umri wake,pamoja na taarifa nyingine ambazo yeye alizikanusha na...

View Article

Rais anaetembelea gari la mwaka 1987.

Ni kawaida kuona Rais anaishi maisha ya kifahari ni jambo ambalo limezoeleka,hii ni tofauti kabisa kwa Rais Jose Mujica. Rais Jose Mujica wa Uruguay ni Rais masikini zaidi Duniani anaeishi kijijini na...

View Article

Mabibi na mabwana @MwanaFA anayofuraha kutualika kutazama video yake mpya ya...

Ni single ambayo imeivunja rekodi yake mwaka huu wa 2014 kwenye list ya 20 bora za CloudsFM Top 20 ambapo ilikaa kwenye namba one kwa zaidi ya wiki tano mfululizo. Baada ya kuenjoy na audio yake kwa...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live