Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Hizi ni picha za wanaume waliojitolea kuonja maumivu ya mwanamke anapojifungua…

Kuna vioja tumekuwa tukivisikia sehemu mbalimbali duniani, na bado vingine vinaendelea kuibuka siku baada ya siku. Leo hii kuna stori mpya ambayo imenifanya niendelee kuweka kumbukumbu kichwani kuhusu...

View Article


Wafungwa, mama wa watoto wa nne wafanya mtihani wa kumaliza darasa la saba…

Mtihani wa kitaifa wa shule za msingi Kenya (KCPE) umeanza leo ambapo miongoni mwa watahiniwa ni wanafunzi wa vituo vya elimu ya watu wazima ambao wamejitokeza kwa wingi. Katika hali ambayo huenda...

View Article


Nisher arusha dongo kwa wanaomuandikia ‘nyaraka’ za kumkosoa…..

Director Nisher atupa jiwe gizani unahisi amemlenga nani? Kupitia mtandao wa Instagram Nisher amepost picha yenye maneno yanayoonekana kuwa ni dongo linalomwendea mtu ambaye hakumtaja ,kwenye picha...

View Article

Kwa kosa la kutupa unga vichakani, Mahakama yawahukumu miaka 5 jela…

Jeshi la Polisi katika jitihada za kupambana na madawa ya kulevya, limewakamata watu wawili waliokuwa katika gari baada ya kutupa dawa za kulevya vichakani zenye thamani Paundi 230,000. Watuhumiwa hao...

View Article

Hii inahusu baba aliyemwalika dinner mbakaji wa mwanaye na kumuua…

Hakuna mzazi anayependezwa na kitendo cha mtoto wake kufanyiwa kitendo cha kinyama ama ukatili wa namna yoyote, huenda ndiyo sababu iliyomfanya mzazi huyu kuchukua maamuzi magumu ya kurudishia unyama...

View Article


Magazeti ya leo Nov 5 2014 Udaku, Michezo na Hardnews

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

Ni Profesa Jay na CHADEMA.. Unajua kilichotokea leo? Kisome hapa uone na picha..

Mkongwe kwenye Game, Profesa Jay leo ameandika historia nyingine tangu atangaze kuingia rasmi kwenye jukwaa la kisiasa. Unajua kwamba jamaa alitangaza  rasmi kuvaa gwanda la CHADEMA sasa leo ameendelea...

View Article

Sikiliza Magazeti yaliyosomwa Redioni Leo Nov5.

Tumia dakika 20 kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye Magazeti mbalimbali ya leo na hapa yanasomwa na kuchambuliwa na Paul James kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast. 104.4 Clouds Fm...

View Article


Uliziona hizi dakika 3 za @MwanaFA baada ya kwenda Tanga?

Siku zote huwa inanifanya nitamani kuona inakuaje pale msanii flani anaporudi nyumbani kwao au kwenye mkoa wake na kufanya show…. kipimo cha upendo wa mashabiki ndio huwa napenda kuanza nacho. Ukitaka...

View Article


Tetesi za Pemba kuwa sehemu ya Kenya, Serikali ya Tanzania yatoa tamko…

Kufuatia kuripotiwa kwa taarifa katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusiana na mgogoro wa mpaka uliokuwepo kutokana na madai kuwa kisiwa cha Pemba ni sehemu ya Kenya, Serikali ya Tanzania imetoa...

View Article

Cheki Mchongo walioutoa TFF unaokuhusu wewe mbunifu.

Inawezekana ukawa una ubunifu wako lakini ukawa unashindwa wapi utaupeleka na kupata pesa halali ya Kitanzania sasa mchongo huu hapa ambao wameutoa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...

View Article

Muendelezo wa ile ya ‘Maalim’ anayetapeli Wanawake kwa kuwaoa. #Hekaheka

Hekaheka ya leo Novemba5, muendelezo wa kile tulichokuwa tunakisikia kwa siku ya tatu kuhusu Maalim, leo mke wa mwisho asimulia mbinu aliyotumia kumwibia, atumia picha yake ya utotoni kudanganya kuwa...

View Article

Sikiliza hapa U Heard ya leo November 5 on XXL Clouds FM

Sikiliza hapa U Heard ya leo November 5 inamuhusu Mabeste.. Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga...

View Article


Utapenda kupitwa na walichofanya WEUSI Arusha?

Ukibonyeza play hapa chini kwenye hii video ya AyoTV utapata time ya kuona kwa ufupi kilichofanywa na watu zaidi ya watano Arusha siku ya Jumamosi November 1 2014. Jumamosi hii WEUSI wamekubali kuwepo...

View Article

Stori 5 Hot kwenye Magazeti ya leo November5

MTANZANIA Polisi Mkoani Morogoro inamshikilia mwanamke mmoja Tausi Mohamed kwa tuhuma za kumjeruhi mtoto wa dada yake Jaffar Mashaka mwemye umri wa miaka11 kwa kumchanachana miguuni na mikononi kwa...

View Article


Kuhusiana na kuvuja kwa picha za utupu za huyu staa wa muziki Uganda,...

Waziri wa Maadili wa Uganda Simon Lokodo ameagiza kukamatwa kwa msanii Franklin kutoka Nigeria ambaye anatuhumiwa kwa kusambaza picha za utupu alizopiga akiwa na mpenzi wake Desire Luzinda. Serikali ya...

View Article

Stori hii inahusu mtu aliyempigia simu Rais kuomba msaada wa fedha kuutoa...

Baadhi ya viongozi wakubwa duniani ikiwemo Marais, Viongozi wa kidini na wengineo wamekuwa na utaratibu wa kutumia huduma za mitandao ya kijamii na simu za mkononi kuwasiliana na watu. Rais wa Kenya,...

View Article


Sikiliza Magazeti yaliyosomwa Redioni Leo Novemba 5.

Tumia dakika 17 kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye Magazeti mbalimbali ya leo na hapa yanasomwa na kuchambuliwa na Paul James kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast, zipo taarifa nyingi...

View Article

Magazeti ya leo Nov 6 2014 Udaku, Michezo na Hardnews

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

Unahitaji kujua umebakiwa na siku ngapi za kuishi duniani? Ipo app ya simu...

Ukuaji wa teknolojia unazalisha stori mpya kila siku ila leo huenda ukashtuka; unajua simu yako inaweza kukwambia siku yako ya kufa? ‘Macabre iPhone App’ ni application ambayo unaweza kuiweka kwenye...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live