Tumia dakika 17 kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye Magazeti mbalimbali ya leo na hapa yanasomwa na kuchambuliwa na Paul James kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast, zipo taarifa nyingi ikiwemo inayohusu matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba Tanzania. 88.5 Clouds Fm inasikika ukiwa Dar es Salaam. Bonyeza play kusikiliza. Nitaendelea kukupatia kila...
The post Sikiliza Magazeti yaliyosomwa Redioni Leo Novemba 5. appeared first on TZA_MillardAyo.