Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Mambo matano ya kufahamu kuhusu Mwanamke aliyemuuza mama yake mdogo Ruvuma.

Unaweza kujiuliza mara mbilimbili inakuaje mpaka mtu anapata ujasiri wa kumuuza mama yake mdogo? tena aliekamilika? 1. Mwanamke mwenyewe alieamua kumuuza mama yake mdogo, anaitwa Sophia Yasin Chambo...

View Article


Mambo 10 aliyoyasema Joseph Kusaga kwenye Power Breakfast @CloudsFM FEB20

Kwenye Power Breakfast FEB20 Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Mr. Joseph Kusaga amesikika live kutoka Dubai, yako mengi kayazungumza, FIESTA2015, wasanii wa TZ, ishu ya dawa za kulevya, UCHAGUZI 2015...

View Article


Majibu ya msanii TID baada ya kuulizwa kuhusu Q Chief kwenye show ya XXL.

Akiwa kwenye kipindi cha XXL msanii TID aliulizwa kinachoendelea kati yake na msanii Q Chief kutokana na maneno aliyoyazungumza juu yake hivi karibuni, TID amesema kuwa hamsikii Q Chief hata akiongea...

View Article

Baada ya ‘Dorrobucci’ kushika, Don Jazzy kawakusanya tena Mavin wana hii mpya...

Nigeria na Afrika zinaheshimu mchango mkubwa wa Don Jazzy kwenye muziki. Don Jazzy ni mmoja ya producers wachache Afrika ambao wanafanya kazi nzuri kwenye huu muziki, ubora wa kazi zake unaweza...

View Article

Jay Z na hii ya skendo ya kuwa na mtoto nje ya ndoa yake na Beyonce…(Video)

Skendo haziko mbali  na kivuli cha staa, hii iko duniani kote na safari hii imemkuta jamaa ambaye wengi wanaofanya Hip Hop wanamuangalia kama model wao, kutokana na nguvu yake kubwa kwenye muziki huo,...

View Article


Utamsikia hapa Boss wa Clouds FM, Joseph Kusaga, Diamond Platnumz na Noorah...

Story ya kwanza kusikila kwenye 255 ya leo february 20, inahusu taarifa zilizosambaa jana kwenye mitandao ya kijamii kuwa Clouds Media Group imeuzwa na imenunuliwa na mfanyabiashara Rostam Aziz....

View Article

Maneno ya Sajna kuhusu Bangi na kuondoka Tetemesha Records..

Najua haujasahau watu waliokuwa wakitajwa sana kwenye chati ya  Bongo Fleva akiwemo msanii Sajna ambaye ukimya wake unaambatana na story nyingi sana,  mengine yamesemwa kuwa ni stress za kazi mpaka...

View Article

Ishu ya Mkuu wa Kituo cha Polisi kumbaka mahabusu Njombe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa ya Njombe, imemhukumu aliyekuwa mkuu wa kituo cha Polisi Ilembula kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka  mtuhumiwa aliyekuwa ndani ya mahabusu....

View Article


Jichagulie pa kwenda na watu wako kucheki movie leo FEB20, hapa iko RATIBA na...

Kama uko ndani ya DAR mtu wangu, ama utakuwa kwenye hilo Jiji leo FURAHIDAY, basi nimeona nikuoneshe hizi sehemu poa kuchill na watu wako wa nguvu. Maeneo ya kucheki MOVIE yapo haya makubwa matatu,...

View Article


Baada ya ‘One Centimeter’ kufanya poa, Jaguar ana VIDEO hii mpya- ‘Huu Mwaka’

Haujapita muda mrefu tangu tumeona video ya one centimeter ya Jaguar akiwa amemshirikisha Iyanya kutoka Nigeria. Leo nakusogezea hii nyingine kutoka kwake Jaguar video ni ya single ya ‘Huu Mwaka’...

View Article

Pale ambapo Polisi wanalazimika kutumia gesi ya pilipili kuwatoa wapenzi...

Wapenzi wawili, Lee Hops na Hayley McClory  waliokamatwa wakifanya mapenzi kwenye choo cha pub moja mitaa ya Durman, Uingereza wamepandishwa kizimbani kusomewa mashtaka ya makosa mbalimbali. Siku ya...

View Article

Fix za baba la baba AMPLIFAYANI mtu wangu… Cheka na hii Baba Levo anatoa ofa...

Kama kawaida AMPLIFAYANI huwa inasikika sauti ya Mbongo Fleva Baba Levo ambaye ni bingwa wa mastory ya utani na kuchekesha, tangu nimemfahamu ni mmoja ya watu ambao huwa hakosi story ambayo itanifanya...

View Article

Haya mengine saba ya Yamoto Band kwenye BBC Dira ya Dunia… (SAUTI)

Tuliziona pichaz Yamoto Band pamoja na story za wao kwenda zao London, Uingereza kupiga show, siku ya leo FEB21 muda mfupi baadaye watakuwa na show, watu wetu hawa saa chache zilizopita walikuwa kwenye...

View Article


Jinsi mitandao ya Nigeria ilivyoshindwa kutafsiri jina la wimbo wa Iyanya ft...

Tangu msanii wa Nigeria, Iyanya aiichia single mpya iitwayo Nakupenda aliyomshirikisha Diamond Platnumz, mitandao mbalimbali ya Nigeria imeonekana kushindwa kutafsiri jina la wimbo huo kwa lugha ya...

View Article

Tulishare pamoja PICHAZ kutoka Behind the Scene, hii ni time ya kucheki...

Muda  mrefu watu walianza kuitamani video baada ya single yao ‘Siri’ kuachiwa ili tuisikilize, uzuri wa huu wimbo ukausogeza pia kwenye chati za radio mbalimbali, sasa time hii Vanessa Mdee na Barnaba...

View Article


Zimekupita Habari MAGAZETINI leo FEB21? Hapa ziko stori kubwa tano..

MTANZANIA Kiongozi wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), waliokuwa wakiishinikiza Serikali kuwapatia ajira, George Mgoba amelazwa katika Hospitali ya Amana Dar es Salaam baada ya...

View Article

Hii ni ya mwanamke kumkata mpwa wake sehemu zake za siri Ruvuma…

Mtu mmoja wa Kijiji cha Majimaji Ruvuma, Patrick Vitus amekatwa sehemu zake za siri  na kuachwa zikining’inia. Ofisa Mtendaji Wa Kijiji hicho Hussein Mkali amesema Partick alikatwa sehemu zake za siri...

View Article


Ajali ya moto kwenye ghorofa la makazi ya watu Dubai (Picha & Video)

Moja ya story ambayo imechukua sehemu kubwa ya habari kwenye vyombo vya Kimataifa ni hii ishu ya moto mkubwa ambao umeteketeza sehemu kubwa ya ghorofa usiku wa kuamkia leo February 21 Dubai....

View Article

Tutegemee kusikia chochote kutoka kwa Mweusi JOH MAKINI na rapper KO?

Joh Makini amekutana na Rapa KO wa kundi la Tearsgas, halafu Joh ameweka picha Instagram wakiwa ndani ya studio na kuandika; “#Studio_flow with #KO @mrcashtime himself #2KINGS...

View Article

Mitandao ya picha na video za ngono CHINA wameenda hatua moja mbele..

China na Sheria zao, Serikali ya nchi hii ni moja kati ya chache ambazo zimekuwa mstari wa mbele kwenye utekelezaji wa chochote kile ambacho watakiamua, kwa wakati wowote na kwa njia yoyote. Moja ya...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live