Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Matokeo ya Real Madrid vs Barcelona march 23 2014

Kazi nyingine inayofanywa na millardayo.com ni kukupa info kuhusu matokeo ya mechi mbalimbali za soka duniani ambapo post hii ni maalum kwa ajili ya Real Madrid vs Barcelona. Use Facebook to Comment on...

View Article


Masanja Mkandamizaji kuhusu wife/husband material, UDOM, Arsenal na Mbunge...

Ni mchekeshaji wa TV ambae hautaishia kucheka ukimtazama kwenye TV bali hata mtandaoni, ni miongoni mwa mastaa wa bongo wenye followers wengi mitandaoni nchini Tanzania. Unacho cha kuongezea kwenye...

View Article


Ndege ya Malaysia Airlines ilidondoka kusini mwa bahari ya hindi

Baada ya uchunguzi wa muda mrefu kuitafuta ndege ambayo ilidhaniwa kuwa imepotea au kupatwa na matatizo mengine baada ya kushindwa kufika sehemu iliyotakiwa kwa wakati, taarifa za uchunguzi mpya...

View Article

Video ya behind the scene jinsi Kanye West, Kim K na mtoto wao wakipiga picha...

Moja ya cover za magazine zinazomiliki headlines hivi sasa ni hii cover ya Vogue ambayo Kim Kardashian ametokea na mpenzi wake Kanye West wakiwa kwenye mavazi ya harusi. Hii hapa chini ni video ya...

View Article

Stori 10 za AMPLIFAYA March 24 2014

Amplifaya ni show ambayo inasikika kupitia Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku ikihusika kutoa stori zote kumi kubwa za siku za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na ishu...

View Article


Picha 4 alizoweka Ray C kwenye instagram na alichoandika.

Hili ni gazeti lililotoka November 2 2012 ambapo lilitoa picha za Ray C alizopigwa muda mfupi baada ya kutumia dawa za kulevya baada ya kunaswa na Mapaparazi. Baada ya kuweka hiyo picha hapo juu, Ray C...

View Article

Wale wa Chris Brown hii ni video yake mpya akiwa na Lil Wayne na Tyga.

Licha ya Chris Brown kuwa jela akitumikia kifungo chake cha mwezi mmoja kazi zake za kimuziki bado zinaendelea ambapo imedondoshwa video yake mpya kutoka kwenye album yake ‘X’ ambayo inatarajiwa kutoka...

View Article

Mzigo wa Jaguar toka Kenya mpaka Burundi. @RealJaguarKenya

Ni show ambayo ilifanyika kwenye uwanja wa mpira unaitwa Nyakabiga huko Burundi ambapo staa huyu wa Kenya ameendelea kuvunja rekodi yake ya kupata watu wengi kwenye shows huku hii ya Burundi...

View Article


Kuhusu Mkurugenzi aliefutwa kazi Maliasili.

Wizara ya maliasili na Utalii imemfuta kazi mkurugenzi wa bodi ya utalii Tanzania dokta Aloyce Nzuki kwa kutokuwa na imani nae pamoja na utendaji usioridhisha. Hii imekuja baada ya kikao cha pamoja...

View Article


Msikilize Mbwiga wa March 24.

Huu  ni udambwi dambwi wa Mbwiga wa March 24 ni stori za kimichezo ambazo zimewahi kutokea kipindi cha nyuma hasa kwenye mpira wa miguu. 88.1 Clouds Fm inasikika ukiwa Mwanza. Bonyeza play kusikiliza....

View Article

Kuhusu kamati 12 zilizoundwa na Sitta na hotuba ya JK kujadiliwa.

Kufuatia kuwepo kwa hoja mbalimbali za wajumbe wa Bunge maalum la katiba kuhusu kukinzana kwa Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa wakati wa uzinduzi wa bunge hilo na rasimu ya katiba...

View Article

Picha 9 za jinsi taarifa mpya za ndege ya Malaysia zilivyopokewa na ndugu na...

Waziri wa Malaysia amebadilisha vichwa vya habari duniani kwa kusema ripoti ya shirika moja la Uingereza inadhihirisha kwamba ndege ya Malaysia iliyopotea zaidi ya siku 15 zilizopita, ilianguka kwenye...

View Article

Picha 4 zilizofanya mwimbaji Nyota ndogo kuandamana hivi na Wanawake kumpinga...

Colonel Mustapha ni miongoni mwa Wasanii wa longtime kidogo kwenye game ya muziki Kenya toka enzi hizo akiwa kwenye kundi lililotoa hit single yenye maneno ‘bibi yake mufupi, kijana murefu ametoka...

View Article


Picha mbili za Jay Z akiwa mdogo zilizotolewa na ‘New York magazine’

Jarida la New York limepost hii kuhusu ishu mpya ya jarida hilo ‘The Annual Yesteryear Issue’ ambapo wameshea picha za udogoni za Jay Z na maneno ya “A Century of Pop Music In New York”. The Notorious...

View Article

Baada ya kuenguliwa kwa ‘tema mate’ kwenye tuzo za KILI, Madee amezungumza haya

Msanii Madee toka Tip Top Connection ni miongoni mwa wasanii ambao hawajaingizwa kwenye kushindania tuzo muziki Tanzania (KTMA) 2013/2014 baada ya baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kutangaza kwamba...

View Article


Sikiliza You heard ya leo inayomhusu Mtunisi wa Bongo Movie.

Hii imemtokea Mr Mtunisi wa Bongo Movie baada ya kusemekana aliigeuza Gari yake ya binafsi na kuifanya ya abiria sasa tatizo limemtokea baada ya kusemekana alimpakia dada ambaye aligoma kulipa nauli...

View Article

Kama ulimis Hekaheka ya leo March 25 ipo hapa.

Hii ni Hekaheka iliyotokea wiki kadhaa nyuma ambayo iliwahusisha vijana waliochukuliwa Songea wakiambiwa wanapelekwa Arusha kwa ajili kufanya kazi,ikatoka taarifa kuwa makubaliano waliyokubaliano siyo...

View Article


Picha za Swizz beatz na Alicia keys huku Mashonda akishuhudia zimeleta huruma.

Alicia Keys na mume wake Swizz Beatz pamoja na mke wake wa zamani Mashonda na watoto wao walikuwa kwenye mapumziko ya kifamilia ufukweni lakini watu hawakuwaza tena starehe zao bali kumuhurumia...

View Article

Dakika zako 3 unaweza kuzitumia kutazama hii video mpya ya 50 Cent

50 Cent yupo kwenye hii game kwa miaka kadhaa sasa hivi toka enzi hizo dunia inamfahamu kwa single yake ya ‘In da club’ ambayo nakumbuka ilivunja rekodi pia mpaka nchini Afghanistan. Hii video mpya...

View Article

Umesikia kuhusu Watanzania waliohukumiwa kunyongwa China?

Matukio ya kukamatwa kwa Watanzania nchini China kwa kesi za biashara ya dawa za kulevya yana idadi kubwa sana ndani ya hii miaka mitano iliyopita. Miezi miwili iliyopita Balozi wa Tanzania China...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live