Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Tazama video ya marudio ya mchezo wa AC Milan vs Atletico Madrid

Use Facebook to Comment on this PostThe post Tazama video ya marudio ya mchezo wa AC Milan vs Atletico Madrid appeared first on TZA.

View Article


Hiki kitendo cha Drake ndio kimeonekana kama dharau kwa Diddy

Drake na Diddy walikua kwenye stage ambapo Drake alikua anaperform ‘worst behavior’ kwenye night club ikiwa ni All-star weekend ambapo ghafla mic yake iliacha kufanya kazi wakati ya Diddy ilikua...

View Article


Maneno ya Zitto Kabwe kuhusu nyongeza ya posho za bunge la katiba. @ZittoKabwe

Ishu ya posho za bunge la katiba ndiyo inayoongelewa sana hivi sasa ambapo pamoja na headlines zote za Wabunge, haya ni mawazo ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuhusu hii posho.   Use Facebook...

View Article

Umeiona video mpya ya AT?ipo hapa.

Wale wa miduara huu mzigo wenu kutoka AT ambaye aliwahi kuwa member wa kundi la Offside Trick lililokuwa na makazi yake Zanzibar,wiki chache zilizopita kuna taarifa zilitoka za kup0elekewa barua...

View Article

Hivi ndivyo Instagram ilivyomponza Abdul Kiba.

Wengi huwa wanasema mitandao ya kijamii ukiitumia vibaya inaweza kukuletea madhara sana na kama utaitumia vizuri basi inaweza kukuletea mafanikio makubwa sana,leo kupitia You herad ya leo Soud Brown...

View Article


Video nyingine ya Wyre @WyreDaLoveChild

Ni zaidi ya wiki mbili toka huu mzigo uingie kwenye himaya ya Youtube lakini bado imekua ni single inayozidi kukua kila siku, ukiitazama mara moja unatamani kuitazama tena, ni yuleyule Wyre mkali wa...

View Article

Umeiona video mpya ya P UNIT waliyofanya South Africa? @PUNIT_KENYA

Hii video P Unit waliifanya November 2013 Capetown Afrika Kusini wakati walipohudhuria tuzo za Channel O ambako walitangazwa washindi wa tuzo mbili. P Unit ni kundi la Kenya ambalo limeweza kudumu kwa...

View Article

Kilichosemwa na Mh.Membe kuhusu Mgogoro wa Mpaka kati ya Tanzania na Malawi.

Tanzania bado ipo kwenye mgogoro na nchi ya Malawi juu ya mpaka halisi wa nchi,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Benard Membe amesema hatma juu ya mgogoro huo inategemewa kutolewa...

View Article


Fahamu siri ya uhusiano ya Ozil na kipa Manuel Neuer

“ Najua namna Mesut Ozil anavyopiga penati. Nilijua angesubiri kwa muda kabla ya kuamua upande upi apige.” – Manuel Neuer akizungumza kuhusu kuokoa penati ya Mesut Ozil. Mesut Ozil na Manuel Neuer...

View Article


Alichosema Mbwana Samatta kuhusu Mrisho Ngassa

Mshambuliaji wa kimataifa mtanzania anayekipiga  TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mtanzania Mbwana Samatta, amesema Mrisho Ngassa wa Yanga amefanya kitu cha maana kwa kupiga ‘Hat-Trick’...

View Article

Pichaz za uzinduzi wa Movie 3 mpya ikiwemo aliyocheza Ben Pol.

Kampuni ya Proin Promortion ambayo inashughulika na uongozaji na usambazaji wa filamu mbalimbali za Kitanzania ambapo February 20 2014 wamezindua Filamu mpya 3 ambazo zinategemewa kuingia sokoni hivi...

View Article

Picha 10 za show ya Jaguar zikiwemo za waliozimia baada ya kumuona.

Hapa ni wakati Jaguar ndio anaingia kwenye show, haya yote unayoyaona ni magari anayoyamiliki. Kutoka 254 kwenye ardhi ya Kenyata hii story inamhusu star wa single mpya ya Kioo ambayo wiki kadhaa...

View Article

Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 21 2014

Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa...

View Article


Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo February 21

Teknolojia inaniruhusu mimi kukuunganisha moja kwa moja ili kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni kwenye Power Breakfast,Magazeti haya yanachambuliwa na PJ kupitia kisehemu cha Kuperuzi na Kudadisi....

View Article

Takwimu ya maoni ya Katiba, fahamu kuhusu serikali 3, Urais wa Jamuhuri na...

Kupitia ukurasa wake wa Facebook Mh. January Makamba amepost kuhusu sehemu ya maoni ambayo amedai ni kwa mujibu wa kitabu cha takwimu za ukusanyaji maoni ya katiba. Kitabu hicho cha takwimu kimetolewa...

View Article


Umekisikia Kilichomtokea Mkono wa Mkunule,sikiliza You heard ya leo.

Hii ni kutoka 92.9 Iringa ambapo Soud Brown ana-amplify taarifa za mmoja kati ya waigizaji wa Comed Tanzania,Huyu ni Mkono wa Mkonule ambaye umaarufu wake ulianza kuchukua kasi baada ya kushiriki...

View Article

Kevin Hart anahusika kwenye movie za wiki hii, cheki ratiba nzima hapa.

About last night movie ambayo inamuhusisha mchekeshaji maarufu hivi sasa Kevin Hart itaanza kuonyeshwa kwenye theater zote za hapa Tanzania. Ratiba yote ya movie zitakazoonyeshwa kuanzia February 21...

View Article


Umesikia idadi ya Tembo waliobakia Mbuga ya Seluu?ipo hapa.

Meno ya tembo bado ni ishu kubwa na stori zake bado zinazidi kumiliki headlines kutokana na ukweli kuhusu wanyama hawa wanavyoshambuliwa na majangili mbalimbali,February 20 Meneja uhusiano wa hifadhi...

View Article

Kuhusu matokeo Kidato cha nne 2013,kuyaona na taarifa zake zipo hapa.

Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) leo February 21 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha Nne kwa mwaka 2013 na kuainisha kuwepo kwa wanafunzi wengi waliopata daraja Sifuri ambao ni asilimia...

View Article

Hiki ni kitu kingine kinachokuja kutoka kwa Ray C.

Anaitwa Rehema Chalamila kwenye stage ya muziki tunamjua kama Ray C. Kitu kikubwa kinachosubiriwa kutoka kwake hivi sasa kazi zake mpya kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu. Kitu cha...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live