Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kuvaa medali za Dhahabu leo?

WASHAMBULIAJI kutoka Tazania Mbwana Ally Samatta na Thomas Emanuel Ulimwengu leo watakuwa wanawania Medali za Dhahabu za michuano ya Afrika wakati klabu yao ya Tout Puissant Mazembe itakapokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maandalizi ya mwisho kabisa ya Ebss 2013

Yale mashindano ya kumtafuta super star wa bongo Ebss leo ndo fainali zake hapa Escape 1 Mikocheni Dar es salaam. Hatua za mwisho kabla ya shughuli kuanza ndo zinamaliziwa,jukwaani hapo kuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Red Carpet Ebss 2013

Hiki ndicho kinachoendelea kwa sasa,upande wa redcarpet hapa Escape 1 Mahali ambako anazaliwa super star wa mwaka 2013 kupitia Epiq Bongo Star Search. Use Facebook to Comment on this Post

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hivi ndivyo Emmanuel Msuya alivochukua Milioni 50 za Ebss

  Kinyanganyiro cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo Star Search 2013 kimekamilika alfajiri hii kwenye ukumbi wa Escape 1. Mashindano haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumapili December 01 2013

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Use Facebook to Comment on this Post

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo December 3 2013

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Use Facebook to Comment on this Post

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaya Toure aibuka mchezaji bora Afrika 2013

Baada ya kusubiri kwa muda mrefu,Hatimae kile kinyang’anyiro cha mwanasoka bora wa Bbc kimemalizika,Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Ivory Coast, Yaya Toure ameibuka mshindi wa tuzo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hiki ndicho kinacho make headline kwenye instagram kutoka kwa Irene Uwoya

Ukifungua page ya Irene Uwoya kwenye Instagram ambayo anatumia jina la @ireneuwoyaonepieceintown utakutana na hii picha inayohusu kifo cha muigizaji Paul Walker lakini post ya Irene imechukuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi wa KIA mbaroni kwa dawa za kulevya

Wafanyakazi wawili wa kampuni ya uwakala wa uendeshaji wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KADCO), wanashikiliwa Polisi kwa madai ya kupanga njama za kupitisha wasafirishaji wa dawa za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 4 za Hali ya Kariakoo baada ya mvua ya leo asubuhi

Hii ni mvua iliyonyesha leo asubuhi maeneo ya kariakoo na jinsi hali ya miundombinu yetu ya Tanzania ilivo..Huu ni mtaa wa Uhuru.     Use Facebook to Comment on this Post

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja wa Mataifa waanza Kutumia ndege zisizo na rubani DRC

  Majeshi ya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo yameanza kutumia ndege zisizo rubani kuchunguza harakati za waasi katika mipaka na Rwanda na Uganda. Hii ni mara ya kwanza kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti kuhusu viwango vya ufisadi Duniani hii hapa

Kumekuwepo na shutuma nyingi za ufisadi kwa nchi mbalimbali kwa miaka na miaka, kwa viongozi na viongozi ambapo hii ndio ripoti kuhusu viwango vya ufisadi. Nchi ya Afghanistan, Korea ya Kaskazini na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti Chadema mkoa wa Singida ajiuzulu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo[Chadema] hivi karibuni kimeingia kwenye headline na vyombo mbalimbali vya habari  kutokana na kile kinachoonekana ni kutoelewana kwa viongozi wa nchi wa chama hicho....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazetini leo December 04 2013 Udaku, Michezo na Hardnews

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Use Facebook to Comment on this Post

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Chadema mkoa wa Arusha baada ya ofisi kuchomwa moto

Matukio yanayokiandama chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] yamezidi kuchukua nafasi ambapo mkoani Arusha watu wasiojulikana wameshutumiwa  kuchoma moto ofisi za chama hicho  Jumanne tar 03 Dec...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kallage:Bifu la Nisha na Adamu kuna mmoja hana adabu

Wiki chache zilizopita kulikua na kurushiana kwa maneno kati ya madirector wa Bongo Adam Juma wa Next level na Nisha wa Nisha Entertainment,,,Millardayo.com imepiga xclusive na Director John Kallage...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zikiwa zimebaki siku 2 tu kati ya siku 14 alizopewa Rage,TFF wataja hatua...

Rais wa TFF, Jamal Malinzi ameutolea ufafanuzi mgogoro wa Simba unaoendelea hivi sasa baada ya mwenyekiti wa Simba Ismail Aden rage kupinga agizo la kuitisha mkutano wa wanachama ndani ya siku 14...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimanjaro Stars yaingia robo fainali

Leo Kikosi cha Kilimanjaro Stars kimefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji kwa kuifunga Burundi goli 1-0. Katika mechi hiyo Kilimanjaro Stars dakika ya 7,ilifanikiwa kupata goli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazetini leo December 05 2013 Udaku, Michezo na Hardnews

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Use Facebook to Comment on this Post

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB yadhamini maonyesho ya Mbeya Expo.

Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dk. Harrison Mwakyembe akitia sahihi kitabu cha wageni alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya Mbeya Expo yaliyofanyika katika viwanja vya Mkapa vilivyopo soko la Matola...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live