Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Yaya Toure aibuka mchezaji bora Afrika 2013

$
0
0

TOURE

Baada ya kusubiri kwa muda mrefu,Hatimae kile kinyang’anyiro cha mwanasoka bora wa Bbc kimemalizika,Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Ivory Coast, Yaya Toure ameibuka mshindi wa tuzo ya mchezaji bora barani Afrika ya BBC kwa mwaka 2013.

yayatoure

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30, aliwashinda wachezaji wenzake Pierre-Emerick Aubameyang, Victor Moses, John Mikel Obi na Jonathan Pitroipa na kuibuka mshindi wa tuzo hiyo.

Yaya toure ndani ya miaka minne mfululizo ameingia kwenye kinyang’anyiro hiko.

Use Facebook to Comment on this Post


Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Trending Articles