Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Kallage:Bifu la Nisha na Adamu kuna mmoja hana adabu

$
0
0

389075_360927544012076_2113511584_n

Wiki chache zilizopita kulikua na kurushiana kwa maneno kati ya madirector wa Bongo Adam Juma wa Next level na Nisha wa Nisha Entertainment,,,Millardayo.com imepiga xclusive na Director John Kallage wa Kalla pics ambaye amesema

‘Aaah well hizo mi mi nimefatilia kwa sehemu moja au nyingine lakini kiukweli sijui yani nisemaje lakini  mi naona kwanza hayo mambo hayanihusu kwa sababu hayo mambo ni parsonal ni mtu mmoja na mtu mwingine ndo wamegombana hayanihusu,lakini kwa ufatiliaji nilivyoona naona kwenye hilo tatizo kuna mmoja hana adabu’.

‘Ukweli kama mioyoni mwao wako real kwamba wanabishana wana fanya malumbano hayo kwa kupeana challenge za kikazi hilo sidhani hata kama wewe utakataa kwamba halitoendeleza game lakini kama wanafanya mambo ya mitaani ya hivi na hivi kama mioyoni mwao wana bifu tofauti hiyo haiwezi saidia chochote’

‘Mashabiki wajaribu kuangalia tu kazi nyingi tunazozifanya kwa sababu kazi ni nyingi na mimi mwenyewe naendelea kufanya japo nguvu kubwa nimeiweka kwenye filamu kwa sababu huko ndipo nilipokuwa nimeanzia’.

next-level

 

adam-instagram

 

Use Facebook to Comment on this Post


Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Trending Articles