Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Emmanuel Okwi azungumza kuhusu taarifa za kuondoka Yanga, hiki ndicho alichosema

$
0
0

Siku kadhaa baada ya kutoka taarifa kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda anayekipiga klabu bingwa ya Tanzania bara Yanga, Emmanuel Okwi amegoma kuendelea kuichezea timu hiyo kutokana na kuidai timu hiyo, hatimaye leo hii kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Facebook Okwi amevunja ukimya na kuzungumzia suala hilo. Hiki ndicho alichoandika leo   Kwa mujibu...

The post Emmanuel Okwi azungumza kuhusu taarifa za kuondoka Yanga, hiki ndicho alichosema appeared first on TZA.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Trending Articles