Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Jinsi ambavyo madereva Boda boda Mbeya walipoamua kuondoka na mwili wa...

Madereva boda boda kutoka Uyole-Mbeya wameingia kwenye headline baada ya kuamua kuondoka na mwili wa marehemu Gabriel Osward Ngalele ambaye alikua pia ni dereva boda boda mwenzao. Tukio hilo limetokea...

View Article


Kutoka kwa Diva na Adam Mchomvu baada ya headlines za kusimamishwa kazi...

Jana kitu kilichokua headline kubwa kwenye mtandao ni kuhusu Adam Mchomvu, Diva na B12. Hizi ndio status walizoandika Adam Mchomvu na Diva kwenye kurasa zao za instagram. Use Facebook to Comment on...

View Article


Kuwa kati ya watu wa kwanza kuangalia video ya Tema mate tuwachape kutoka kwa...

Video hii imefanywa na Ogopa videos kutoka Kenya na wimbo umerekodiwa kwenye studio za MJ Record. Kuwa kati ya watu wa kwanza kuingalia video hii ambayo ni ya kwanza kwa Madee kufanya na Ogopa videos....

View Article

Ushawahi kusikia mvua inayonyesha sehemu moja tu ndani ya nyumba?Sikiliza...

Uswahilini hakuishiwi vituko kila kukicha,hiki ni kipya ambacho kimetokea huko Mwananyamala inamhusu mpangaji ambae kakutana na kituko cha aina yake kwa kunyeshewa na mvua kitandani tu,sikiliza kupitia...

View Article

Sikiliza You heard ya leo inayowahusu Weusi

Maisha ya mastar wetu wa Tanzania huwa yanazungukwa na vitu vingi sana,Soud Brown ana-amplify taarifa za kundi la Weusi kumhama Producer wao waliyekua wanafanya nae kazi toka zamani kisa ni kipi,ni...

View Article


Unaambiwa Wachina wameanza kutengeneza upya Meli ya Titanic.

Nchi ya China ni Nchi inayoonekana kuwa na Wakazi wanaopendela ujenzi wa majengo makubwa ya kihistoria na magari kadhaa yenye muonekano wa alama ya uchina kama ishara ya kuonyesha ufanisi wao katika...

View Article

Msikilize Mbwiga wa Mbwiguke leo Jan 16

Kama kawaida ya Millardayo.com ni kukuwekea vitu ambavyo pengine vilikupita na umetamani kuvisikia,hapa tunaimaliza siku kwa kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke kwenye habari za michezo hiki msikilize...

View Article

Makubwa wa magazeti ya leo Ijumaa January 17 2014

Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa...

View Article


Hizi ni dakika 18 za kusikiliza kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo.

Zitumie dakika hizi 18 mtu wangu kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa za Magazeti kupitia Power Breakfast,uchambuzi huu wa Magazeti umefanywa na Gerald Hando pia utakisikkia alichokizungumza Waziri...

View Article


Huyu ndiye mtangazaji mwingine anayetegemea kuingia kwenye Siasa 2015

Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho kutoka Clouds Fm ‘The people’s Station’ leo kwenye akaunti yake ya Instagram amepost picha ikiwa na maneno haya chini. ‘Natangaza nia ya kugombania ubunge 2015 na...

View Article

Umelisikia Deni analodaiwa Snura?sikiliza hapa kupitia You Heard ya leo.

Pengine inaweza kuwa skendo ama ni kweli juu ya deni analosemekana anadaiwa Snura,pamoja na pesa nyingi anazoonekana kaingiza kwa singo kadhaa kama Majanga,Debe la Vanga na Nimevurugwa,lakini kumbe...

View Article

Meya wa Manispaa ya Bukoba ajiuzulu baada ya ripoti ya CAG

Madiwani wa Manispaa ya Bukoba wamekua na tuhuma dhidi ya Mstahiki Meya Anatory Amani kwa matumizi mabaya ya madaraka ambapo leo Meya huyo wa Manispaa ya Bukoba Anatory Amani amejiuzulu huku wakuu wa...

View Article

Msikilize Mbwiga leo jan 17

Kama kawaida ya Mbwiga wa Mbwiguke kila Ijumaa kuwepo live studio,msikilize hapa akipiga stori ndani ya Sports Extra,sikiliza kupitia 87.9 Clouds Fm Moshi na Arusha. Bonyeza play kusikiliza. Use...

View Article


Stori za magazeti ya leo Jumamosi January 18 2014

Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa...

View Article

Hizi ndio picha mpya za mtoto wa Kanye West na Kim Kardashian

Kama ilivyokua kwa mara ya kwanza picha ya mtoto North West ilionekana kwenye The Ellen show. Mara nyingine tena picha za mtoto huyo zimeonyeshwa baada ya mama yake Kim Kardashian kwenda kwenye...

View Article


Alichokijibu Madee baada ya maoni ya watu kuhusu video yake mpya.

Ikiwa ni siku ya tatu tangu kuachiwa kwa video ya Rapa toka kundi la  Tip Top Connection Madee  video ya wimbo wa wimbo wake wa Tema Mate Tuwachape baadhi ya maoni ya watu yamekua ni shaka juu ya video...

View Article

Magazetini leo Jumapili January 19 2014

Use Facebook to Comment on this Post

View Article


Yalitangazwa mashindano ya vipaji vya muziki, hawa watoto wakajitokeza

Katika baadhi ya familia watoto wamekua na nafasi ndogo sana ya kusikilizwa na kupewa nafasi ya kufanya kile wanachopenda au kutaka kukifanya kwenye maisha yao. Post hii ni maalum kwa ajili ya...

View Article

Taarifa kamili kuhusu Kuvamiwa kwa mwigizaji Basupa.

Hii ni sehemu ya pili yenye taarifa zaidi kuhusu mwigizaji Basupa kuvamiwa usiku na watu wasiofahamika ambao walimpora. Basupa ameanza kwa kusema>>’Dah mtu wangu yaani mi mwenyewe kwanza...

View Article

P Square sasa kwenye ukurasa mmoja na Usher Raymond, Ludacris na T.I

Siku zote ukisikia Mwafrika yeyote kanunua au anamiliki nyumba Marekani au kwenye nchi yoyote iliyoendelea sana duniani, lazima sehemu ya mawazo yako iwe ni fikra juu ya utajiiri alionao. Basi post hii...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live