Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Ushauri alioutoa Mtanzania huyu kuhusu wasichana wanaoenda Dubai kwa ajili ya...

Ushuhuda wa huyu dada inawezekana ukakufumbua macho na kujua wapi sehemu sahihi ya kuelekea na kujua nini unachotakiwa kukifanya kama umeshaanza kujiandaa safari ya kwenda Dubai. Wimbi kubwa la ukosefu...

View Article


Anti Ezekiel na Kassim Mganga wahusishwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi...

Gazeti la Makorokocho ambalo mhariri wake ni Soudy Brown kutoka XXL ya Clouds Fm leo kwenye ukurasa wa mbele kabisa kuna stori inayomhusu Anti Ezekiel pamoja na Kassim Mganga. Stori hii imeanzia wakati...

View Article


Msikiti mwingine uliyotajwa kuungua moto Dar es salaam Sept 18.

Kwa matukio ya kuungua moto kwa msikiti kwa kipindi cha miezi miwili hii imekua ikifululiza sana ambapo August 13 msikiti wa Mtambani ambao uko maeneo ya Kinondoni Manyanya uliungua upande wa juu....

View Article

Dakika 3 za Young Dee na Jux kwenye single mpya ‘Sio Mchoyo’

Mchanganyiko wa muziki wa Rap na kuimba umepata sehemu yake na hii ni kutoka kwa Young Dee akiwa kamshirikisha Jux kwenye hii single mpya iliyopewa jina la Sio Mchoyo. Bonyeza play kusikiliza. The post...

View Article

Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo September 19 2014

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article


Hukusikiliza Magazeti yakisomwa?hizi hapa dakika 11 za uchambuzi wake.

Kuna uwezekano labda wakati yanasomwa na kuchambuliwa Magazeti haya ulikuwa uko busy lakini millardayo.com inakupa nafasi ya kuhakikisha hupitwi na chochote ambacho kinanifikia. Magazeti haya yanasomwa...

View Article

Stori kubwa magazetini leo Sept 20 2014 Udaku, Michezo na Hardnews

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

Kilichoikuta Yanga leo dhidi ya Mtibwa Sugar na matokeo yote ya VPL haya haya

Wiki moja baada ya kuifunga klabu bingwa ya Tanzania Bara Azam FC kwa magoli 3-0 kwenye mchezo wa ngao ya hisani, leo hii watoto wa Jangwani Dar Young Africans wamekutana na kisanga kizito kutoka kwa...

View Article


LaLiga: Hiki ndicho Rea Madrid walichoifanya Deportivo La Coruna

Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo dhidi ya Real Sociedad na mahasimu wao Atletico Madrid, leo hii kikosi cha Real Madrid kilijitupa uwanjani kucheza dhidi ya Deportivo La Coruna. Mchezo huo...

View Article


EPL: Matokeo ya Arsenal vs Aston Villa haya hapa

Ligi kuu ya Uingereza imeendelea tena leo kwa michezo kadhaa kupigwa kwenye viwanja tofauti nchini humo. Arsenal wakiwa ugenini Villa Park, walicheza dhidi ya Aston Villa, mayokeo ni ushindi kwa...

View Article

EPL: Kama uliikosa mechi ya Liverpool vs West Ham matokeo haya haya

Baada ya kupokea kipigo kutoka kwa Manchester City, na Aston Villa – klabu ya Liverpool leo imejitupa uwanjani kucheza dhidi ya West Ham United katika dimba la Upton Park. Liverpool ambao wamefanikiwa...

View Article

Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo September 21 2014

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article

EPL: Mazito yaikuta Man United – haya hapa matokeo yao dhidi ya Leicester City

Ligi kuu ya Uingereza imeendelea tena jioni ya leo kwa mchezo kati ya Manchester United dhidi ya timu iliyopanda daraja ya Leicester City. Man United ambao walishinda mechi iliyopita ya ligi dhidi ya...

View Article


EPL: Matokeo ya Man City vs Chelsea haya hapa

Baada ya Man United kupokea kipigo kutoka kwa Leicester City, miamba mingine ya ligi kuu ya Uingereza Chelsea ilijitupa uwanjani kucheza na Manchester City. Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Etihad...

View Article

Magazeti ya leo September 22 2014 na stori kubwa za Udaku, Michezo na Hardnews

Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa...

View Article


Pichaz jinsi Serengeti Fiesta 2014 ilivyopokelewa kwa shangwe 88.5 Morogoro

Show ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika Jumapili,Sept 21 kwenye uwanja wa Jamhuri Stadium imefana baada ya wakazi wa (88.5) Morogoro kupokea kwa shangwe burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali Tazama...

View Article

Dakika 16 za kusikiliza uchambuzi wa Magazeti leo Sept 22.

Unapopata nafasi ya kupitia kurasa za magazeti mbele na nyuma,millardayo.com inakupa nafasi nyingine ya kusikiliza uchambuzi huu ambao unayahusu magazeti ya siku husika,hapa yanasomwa na kuchambuliwa...

View Article


Kesi ya Emmanuel Mbasha imesogezwa tena mpaka October.

Kesi ya mwimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha imepigwa kalenda kwa mara nyingine tena kwa sababu Hakimu anayeendesha kesi hiyo kupata shughuli nyingine nje ya ofisi. Mbasha alipanda kizimbani...

View Article

Maneno ya Mez B baada ya kusambaa kwa picha zake ambazo si nzuri.

Kutoka Chamber Squad mmoja wa wanakundi hilo anayo ya moyoni juu ya picha ambazo zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali inayomuonyesha akiwa na wasichana ambao sehemu kubwa ya mwili wao iko wazi....

View Article

Sikiliza mbinu aliyoitumia huyu dada kunasa ‘mchepuko’ wa mumewe #Hekaheka

Kila siku duniani kumekua kukiibuka vitu vingi sana ambavyo baadhi yake huwa ni vile vya kufurahisha lakini wakati huo huo vinakujenga pia kila unaposikia vimetokea,hii imetokea Dar ya mke aliyeamua...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live