Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Muigizaji Desmond Elliot aingia rasmi kwenye siasa na mipango ya kuwa mbunge.

$
0
0

image

Muigizaji na director wa movie maarufu kutoka Nigeria Desmond Elliot ameingia rasmi kwenye uwanja wa siasa na hivi sasa ana kadi ya chama cha Labour Party pamoja na plan za kugombani ubunge kwenye uchaguzi wa mwaka 2015.

Desmond amesema ameamua kuigia kwenye siasa ili awe mjumbe wa mabadiliko na hivi karibuni ataanza kazi za kisiasa.

Hapa Tanzania kati ya waigizaji wakubwa waliowahi kuonyesha nia zao za kugombani ubunge ni marehemu Steven Kanumba.

Rest in Peace.

Use Facebook to Comment on this Post


Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Trending Articles