Mwanamke mmoja huko Urusi amefariki dunia baada ya kutumia simu aina ya Iphone akiwa bafuni kwake wakati akiwa anaoga huku akiwa anapekua ukurasa wake wa mtandao wa kijamii. Kwa mujibu wa jirani wa mwanamke huyo, Evgenia Svidirenko mwenye umri wa miaka 24 alikuwa akitazama ukurasa wake wa mtandao wa kijamii kama Facebook lakini kwa taifa...
The post Kizaazaa kilichosababishwa na Chaja ya iPhone Urusi… appeared first on TZA_MillardAyo.