Chama cha TAC kimekubali ombi la walimu la kupunguza muda ambapo walimu wapya wanapaswa kuhudumu Kaskazini Mashariki mwa Kenya ama sehemu nyingine yoyote yenye changamoto ambapo sheria za TAC zinahitaji mwalimu kuhudumu zaidi ya miaka mitano kabla ya kuomba uhamisho. Tume ya kukabiliana na ufisadi imemwagiza msimamizi wa Ikulu Lorence Leyana na Mbunge Othman Kamana...
The post Nimekuwekea habari kubwa za leo kutoka radio Jambo Kenya appeared first on TZA_MillardAyo.