Kwenye 255 ya leo January 20 wa kwanza kusikika ni Naibu Waziri Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais atapambana na matukio ya rushwa kwa kuanza kuutafuta ukweli na kisha kutoa adhabu kwa wahusika na kwa kuwa sekta hiyo ina mapungufu kuna haja ya kuurekebisha mfumo mzima unaopambana na vitendo vya rushwa. Rapper Songa amefunguka...
The post Enjoy na story za kwenye 255 ya leo Jan 20, ziko story za Jay Moe, January Makamba na Rapper Songa appeared first on TZA_MillardAyo.