Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Arsenal yaifanyia Man City kitu mbaya.

$
0
0

  Katika matokeo yua kushangaza yaliyotokea mwishoni mwa wiki hii klabu ya Arsenal imewafunga mabingwa watetezi wa ligi ya England Manchester City kwenye uwanja wao wa nyumbani kwa matokeo ya 2-0. Huku wengi wakitegemea kuishuhudia Arsenal ikifungwa , matokeo yalikwenda kinyume baada ya Santi Cazorla kuifungia timu yake bao la kuongoza kwa mkwaju wa penati...

The post Arsenal yaifanyia Man City kitu mbaya. appeared first on TZA_MillardAyo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Trending Articles