Wakili wa Kujitegemea ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mabogini wilaya ya Moshi vijijini Albert Msando ametoa yamoyoni kwa kile kinachoendelea kupitia Bunge la Katiba kwenye Exclusive interview na millardayo.com. Ameanza kwa kusema>>’Nachokiona kwenye Bunge la Katiba ni maslahi binafsi niseme tu bila kusita kwamba maslahi binafsi,binafsi inaweza kuwa ya mtu binafsi yeye kama...
The post Maneno ya Albert Msando juu ya Bunge la Katiba. appeared first on TZA.