Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Kama ilikupita, Azam FC ilivyochukua ubingwa.

Mwandishi wa habari za michezo Saleh Ally ameanza kwa kuandika >> yametimia! hakuna kelele tena na Azam FC imefanikiwa kuweka rekodi mpya kwa kutwaa ubingwa wa Tanzania bara kwa mara ya kwanza...

View Article


Tanzania mpaka Spain hivihivi tu yani…

Heineken wanasimamisha mashindano ya foosball a.k.a soka la mezani kwenye maeneo mbalimbali Dar es salaam ambapo wachezaji wa timu ya Techno wakiongozwa na kapteni wao Geoffrey Dominic (kulia) na...

View Article


Picha 2 za jinsi mtaa wa Watanzania ulivyovamiwa na watu kupigwa South Africa.

Afrika Kusini ni nchi yenye uchumi mkubwa Afrika ambao umevutia Waafrika wengi kukimbilia huko kwa ajili ya kufanya kazi kama za Udereva, uuzaji mafuta kwenye vituo vya mafuta pamoja na kazi nyingine...

View Article

Picha za mashabiki wa Azam FC waliofurika uwanja wa ndege kuisubiri timu yao

Umati wa mashabiki wa Azam FC wamefurika kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Dar es Salaam wakiisubiri timu yao inayotokea jijini Mbeya kuwasili wakiwa wametazwa...

View Article

Hatimae Ikulu imeionyesha hati ya muungano yenye sahihi za Nyerere na Karume.

Miongoni mwa ishu kubwa ambazo zimeendelea kuchukua headlines kwenye bunge la katiba ni hii ya hati ya Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika ambapo baadhi ya wajumbe wanaounga mkono uwepo wa serikali...

View Article


Umekipata alichosema Mwakyembe kuhusu treni za umeme Tanzania?

Mtanzania yeyote ambae anajua utaratibu wa usafirishaji kwenye nchi zilizoendelea kama South Africa, Uingereza na mataifa mengine duniani, anaweza kushawishika kutamani utaratibu huo ungekua...

View Article

Utasafiri kupita Rufiji au kusini? madaraja na barabara kufungwa Dar? taarifa...

Baada ya mvua kunyesha kwenye jiji la Dar es salaam na kuleta maafa, vifo, hasara nyingine pamoja na foleni kubwa, Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani Mohammed Mpinga ameongea na millardayo.com...

View Article

Maneno ya Rais Obama kwa ‘Young African Leaders’

Post hii ni maalum kwa ajili ya kusikiliza anachokizungumza Rais huyu wa 44 wa Marekani ambae anaamini mafanikio ya baadae ya Afrika yapo mikononi mwa vijana wenyewe kutoka bara hili. Use Facebook to...

View Article


Waziri mambo ya ndani kuhusu bomu lililolipuka Arusha April 13, wahudumu pia

Mlipuko wa bomu kwenye mji wa Arusha kwenye bar iitwayo Arusha Night Park Mianzini April 13 2014 umesababisha watu 15 kujeruhiwa na kulazwa katika hospitali tatu tofauti mkoani humo. Waziri wa mambo ya...

View Article


Mchekeshaji wa Kenya kuhusu matumizi ya sura kwenye matangazo, pia mrembo...

Ni kazi ya millardayo.com kuhakikisha popote ulipo hauboreki ndio maana inakuletea vitu mbalimbali kila saa kwenye post zake ambapo post hii ni maalum kwa ajili ya video mbili za mchekeshaji wa Kenya...

View Article

Samwel Sitta amesemaje kama matangazo ya bunge live TBC1 yakikatika?

Jumamosi iliyopita matangazo ya Television ya taifa yalikatika wakati ikiwa live kwenye bunge la katiba ambapo Mh. Tundu Lissu alikua akiwasilisha maoni ya wachache ambako kulisababisha Mwenyekiti...

View Article

Mch. Mtikila, Aden Rage, Zakia Megji na Mkosamali wakizungumza kwenye bunge...

Kuna uwezekano ni hupendi kupitwa na bunge la katiba linaloendelea sasa hivi Dodoma lakini kwa sababu ya majukumu uliyonayo unakuta tu linakupita…. millardayo.com inafanya kazi ya kuchukua kilichosemwa...

View Article

Sentensi 8 za alichosema bungeni Mh. January Makamba @JMakamba na sauti yake

Bunge la katiba linaendelea hapa Dodoma ambapo wajumbe wake mbalimbali wameindeleza ishu ya uwepo wa Serikali tatu na wengine serikali mbili ambapo yafuatayo kwenye post hii ni aliyoyasema Mh. January...

View Article


Alichosema kocha wa Yanga kuhusu Okwi kucheza dhidi ya Simba

MPAKA jana Jumatatu jioni, straika wa Yanga, Emmanuel Okwi, alikuwa hana mawasiliano na Mwanasheria wake, Edgar Aggaba, juu ya mustakabali wa mkataba wake na klabu hiyo na kocha wake, Hans Van Der...

View Article

Jamal Malinzi agoma kujiuzulu uenyekiti wake….

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema hatajiuzulu nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Kagera (KRFA) pamoja na kuwa na majukumu ya kitaifa. Katika taarifa yake...

View Article


Hii ndio listi ya vilabu tajiri duniani – Real, Barca, Man U nani katisha????

Real Madrid imeendelea kuwa klabu tajiri duniani. Jarida la Forbes la marekani limeitaja klabu ya Real Madrid kuwa na thamani ya  €3.3 billion, huku klabu ya Manchester United ikishika nafasi ya pili...

View Article

Video ya kwanza niliyoitazama leo asubuhi. @baloziz

Ni siku kadhaa toka ulipotoka mchongo wa dili la Mtanzania mwenye vigezo kupata ubalozi wa kinywaji kipya town ambapo watu mbalimbali wenye vigezo wametakiwa kurekodi video ya sekunde 30 kuelezea kwa...

View Article


Sentensi 12 alizozitoa ktk bunge la katiba Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu) leo na...

Wajumbe mbalimbali kwenye bunge la katiba wameendelea kuwasha vipaza sauti vyao kuchangia, kutoa ya moyoni kwa kujadili sura ya kwanza na ya sita huku ishu ya serikali mbili au tatu ikizimiliki...

View Article

Je wajua ushindi wa 3-0 wa Dortmund umetengeneza rekodi ipi kwa Pep Guardiola

Wikiendi iliyopita klabu ya Bayern Munich ilipokea kipigo cha 3-0 kutoka kwa mahasimu wao Borrusia Dortmund katika mchezo wa ligi kuu ya Bundesliga. Kipigo hicho kimekuwa cha pili kwa Bayern Munich...

View Article

Seif Shariff Hamad kazungumza leo, kauli zake 7 kuhusu Muungano ziko hapa

Amekua mmiliki wa vichwa vya habari kutokana na ripoti mbalimbali ambazo zimekua zikimnukuu kwa kudai kutozitaka serikali mbili lakini leo April 15 2014 amezungumza kwenye maonyesho ya miaka 50 ya...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live