May 28 2016 alianza kutajwa Mrembo Mtanzania ambaye ni Miss Universe Tanzania 2010 Hellen Dause kuwa miongoni mwa Wajasiriamali 30 wa Afrika wenye umri chini ya miaka 30 ambao wanatarajiwa kuwa Mabilionea wa kesho kutokana na kupambana kuzisaka noti kwa kujituma na ubunifu. Sasa mwingine ni Mtanzania Edwin Bruno ambaye naye yumo kwenye hii list yenye […]
The post Kutana na Edwin Bruno, kijana mwingine wa Tanzania aliyetajwa Forbes appeared first on MillardAyo.Com.