Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Mechi ya Fulham vs Liverpool hatihati kutofanyika, kisa kiko hapa

$
0
0
Mechi ya ligi kuu ya England kati ya Fulham na Liverpool siku ya Jumatano, huenda ikahairishwa ikiwa mgomo wa wafanyakazi wa treni mjini London utaendelea kama ulivyopangwa. Wafanyakazi hao wa treni wanatarajiwa kuanza mgomo wa saa 48 kuanzia leo, hali ambayo inaweza kutatiza shughuli za usafiri kama ilivyokuwa wiki iliyopita mjini humo. Wasimamizi wa Fulham...

Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Trending Articles