Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Chelsea imecheza na Everton nimekuweka matokeo hapa

$
0
0

Viongozi wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Chelsea leo ilisafiri mpaka jijini Liverpool kwenda kucheza na vijana wa Roberto Martinez – Everton. Mchezo huo uliopigwa katika dimba la Goodson Park umemalizika kwa Chelsea kuendelea kuimarisha uongozi wao wa pointi 7 baada ya kuifunga Everton 1-0. Goli pekee la Willian katika dakika ya 89 lilihakikishia...

The post Chelsea imecheza na Everton nimekuweka matokeo hapa appeared first on TZA_MillardAyo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461