Amplifaya ni show inayosikika on Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku kikiwa na mkusanyiko wa habari kumi kubwa za siku zikiwemo siasa, muziki michezo na mengine. #AMPLIFAYA #Jan292015 #10 ‘Polisi wa TZ wakiwashughulikia tu Upinzani wanapandishwa cheo mfano Kamuhanda, Zuberi’ – Mbunge Joshua Nasary — millardayo.com (@millardayo) January 29, 2015 #AMPLIFAYA #Jan292015...
The post Ulikua mbali na Radio? stori zote 10 za AMPLIFAYA January 29, 2015 ziko hapa appeared first on TZA_MillardAyo.