Quantcast
Channel: Millard Ayo
Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461

Mwanamke aliyejinusuru kubakwa na kumuua mbakaji, ahukumiwa kunyongwa.

$
0
0

Reyhaneh Jabbari mwenye umri wa miaka 26 amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mtu mmoja ambaye alifanya jaribio la kumbaka. Taarifa iliyoripotiwa na CNN inasema mwanamke huyo amenyongwa katika gereza la Tehrain, Iran ambapo alikuwa amefungwa baada ya kutenda kosa hilo mwaka 2007 wakati huo akiwa na umri wa miaka 19. Mwanamke...

The post Mwanamke aliyejinusuru kubakwa na kumuua mbakaji, ahukumiwa kunyongwa. appeared first on TZA_MillardAyo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 31461