Wazazi wa wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wamekanusha madai kuwa wanaingiza siasa kwenye kilio chao kuitaka serikali ya nchi hiyo iwaokoe watoto wao. Hii ni baada ya wazazi hao kukataa wito wa kukutana na rais Goodluck Jonathan hapo jana baada ya kushinikizwa na mwanaharakati mdogo kutoka Pakistan Malal Yousafzai. Rias Jonathan amesema ni aibu kubwa...
The post Walichokisema wazazi wa wasichana waliotekwa Nigeria. appeared first on TZA_MillardAyo.