Quantcast
Channel: Millard Ayo
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live

Picha kutoka kwenye himaya ya Mrisho Ngassa, kaoa tena na huyu ndio shemeji yetu

Ni staa wa soka ambae headlines zake nyingine za hivi karibuni zilihusu mke wake kumfikisha Mahakamani baada ya ndoa yao kuingia mifarakano. Jana November 16 2014 Ngassa amefunga ndoa na Mwanamke...

View Article


Kama 255 ya November 17 2014 on XXL CloudsFM ilikupita, nimekuwekea hapa

Kama hukusikiliza 255 kuna story kadhaa ambapo Miss Info Dee Andy kama kawaida yake ameripoti info za kutosha kuhusu wakali kama Belle 9, Gosby, Dark Master, Chris Brown na wengine wengi. Kwa kuanzia...

View Article


Unajua sala aliyoifanya Mike Sonko pamoja na ujumbe alioutoa kwa...

Jina la Mbunge wa Jimbo la Makadara Kenya, Mike Sonko sio jina geni, wengi tunamfahamu kutokana na vitu vingi ambavyo amekuwa akifanya ikiwa ni pamoja na aina ya maisha anayoishi na amekuwa akisifiwa...

View Article

Wabunge walipoingilia kati Wasichana wanaovaa nguo fupi kuchaniwa mavazi...

Kutoka Kenya kikubwa kilichotawala mitandao na vyombo vya habari kwa mfululizo tangu wiki iliyopita ni kuhusu tukio la wanaume kuwachania nguo hadharani wanawake ambao wanawatuhumu kuvaa vibaya, leo...

View Article

Sasa hivi kivuko sio Kigamboni tu hata Dar – Bagamoyo wameletewa hiki kipya.

Foleni za Dar es salaam na matatizo yake imekua sio stori mpya tena ila ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka pamoja na hiki kivuko ndio habari ya mjini ambapo leo kuna stori imetoka ikiwa ni good...

View Article


Ndio utajiuliza ilikuaje mpaka jamaa akaiba gari la Polisi kwenye mazingira...

Wakati flani nilipoitembelea Afrika Kusini niliambiwa na mwenyeji wangu kwamba wizi wa magari unafanyika hata barabarani, unaweza ukawa umesimama kwenye mataa ukisubiri uruhusiwe lakini ghafla watakuja...

View Article

Wametumia hizi dakika 2 kutuonjesha movie mpya ya Fast & Furious 7 itakavyokuwa.

Kama mfululizo wa movie za Fast & Furious uko kwenye kumbukumbu zako basi baada ya kuitazama na hii unaweza kukufanya ukatamani kama ungekua na uwezo wa kuisogeza April 2015 iwe kesho. Ni moja kati...

View Article

Stori za Facebook,Twitter,Instagram za Novemba 17 ziko hapa

Kazi yangu ni kuhakikisha hupitwi na chochote ndio maana natumia muda wangu kukusanyia matukio mbalimbali kuanzia Ofisini,Barabarani,Mitaani mpaka kwenye Mitandao kama hii ya leo. Facebook ZITTO KABWE:...

View Article


Mambo 6 aliyoyasema Young Dee kwenye interview ya Mkasi Novemba 17.

Kama hukuwa karibu na TV yako kuangalia show ya Mkasi on EATV November 17 2014 usiku haya ni mambo sita aliyoyazungumzia Rapper Young Dee kuhusiana na tatoo zake, anachikofikiria kukifanya kama akiacha...

View Article


Kutoka kona mbalimbali za dunia hizi ni pichaz nyingine za nyumba za kisasa!

Ni utaratibu wa millardayo.com kila wiki kuzileta kwako pichaz za nyumba za kisasa kutoka kwenye kona mbalimbali ikiwa na lengo la kukufungua macho na kuona wengine wamejipangaji kwenye sehemu...

View Article

Baada ya Ejeajo ft. T.I ! video mpya waliyoitoa P Square umeiona? iko hapa

Kwa mara ya mwisho inawezekana uliiona video ya Ejeajo ambayo inaendelea kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya TV Duniani ambapo P Square wamemshirikisha rapa T.I kutoka Marekani. Sasa kingine cha...

View Article

#Exclusive Video ikionyesha Ay akiwa nyumbani kwa Sean Kingston, ni nyimbo...

AyoTV imeleta kitu kinaitwa #StorizaAyoTV ambazo zitakua zinatoka kila wakati kukuletea video za interview na mastaa wa Tanzania na nje ya Tanzania, matukio mbalimbali ya burudani, michezo maisha na...

View Article

Video 5 bora za Hip Hop zinazotamba kwenye Top 10 ya Trace Tv ziko hapa….

Trace TV ni kituo cha TV cha Ufaransa maarufu kwa burudani ambacho sasa hivi kimeendelea kuchukua watazamaji wengi wapya hasa vijana wapenda muziki kila siku kutokana na ubora wa muziki unaopigwa. Kwa...

View Article


Mabibi na mabwana ile single mpya ya Vanessa Mdee na Barnaba ndio hii imetoka.

Kwanza watu walianza kuitamani baada ya mfululizo wa picha kuendelea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na imeingia kwenye Top10 ya cover za single mpya Tanzania zilizoongelewa sana. Barnaba na...

View Article

Nakusogezea na hii video mpya ya Avril ‘nikimuona’

Tanzania ilimfahamu vizuri baada ya hits zake kama mama na ile ya ‘chokoza’ lakini baada ya hapo Avrill ambae ni Mkenya ameendelea kuwa kwenye TV na Radio kutokana na kazi zake nzuri ambazo amekua...

View Article


Umepitwa na Stori kwenye Magazeti ya leo Tanzania November 18, 2014? Yasome hapa

MWANANCHI Hakufai..pengine ndio neno linaloweza kuleta uhalisia wa hali  ilivyo katika baadhi ya hospitali za Serikali nchini,ambapo mamia ya wagonjwa wanateseka kutokana na uhaba wa dawa,vitendanishi...

View Article

Nimeweka hapa Hekaheka ya leo Novemba 18 inahusu msichana kupotea, unaweza...

Jumanne Novemba 18 kupitia Clouds Fm kwenye Leo Tena, Hekaheka inahusu msichana wa miaka 17 aliyepotea tangu siku ya Jumamosi Novemba 15. Rafiki yake aliyeongozana na msichana huyo siku hiyo usiku...

View Article


255 ya leo Novemba 18 nimeirekodi na nimekuwekea hapa, ni ruhusa kuisikiliza.

“… And guess what…?..” 255 ya leo Novemba 18 iko hapa tayari, Dee Andy a.k.a Miss Info amesikika kupitia XXL ya Clouds FM muda mfupi uliopita, kama hukupata nafasi kumsikiliza basi millardayo.com...

View Article

Hujasikiliza U Heard ya Leo Novemba 18? Haujapitwa, unaweza kuisikiliza hapa.

Leo Novemba 18 kwenye show kubwa ya burudani Tz, XXL Soudy Brown a.k.a Gossip Cop kwenye U Heard ya leo meneja wa studio ya Bauncha Records Tito amelalamikiwa na msanii chipukizi Sadness ambaye amedai...

View Article

Hii ni Good news kuhusu Chege na Temba Afrika Kusini…

Kama unakumbuka Staa wa kike wa Bongo Fleva wa hit single ‘Ole Themba’ Linah Sanga aliwahi kum-amplify kwa kuwataka wasanii wenzake waanze kutumia fursa ya kujitangaza kimuziki kimataifa ili soko la...

View Article
Browsing all 31461 articles
Browse latest View live