Zikiwa ni siku 10 tangu Bobbi Kristina apoteze fahamu na kuendelea kutumia mashine zinazomsaidia kupumua hadi sasa imeelezwa hali yake bado haijabadilika tangu adondoke bafuni na kukimbizwa katika hospitali ya Emory University hospital iliyopo Atlanta, Marekani. Kwa mujibu wa familia ya Kristina na madaktari wamekubaliana kumwondolea mashine anayopumulia kesho ikiwa ni siku ambayo mama yake...
The post Kilichoamuliwa na familia kuhusu hatma ya mtoto wa marehemu Whitney Houston appeared first on TZA_MillardAyo.